-
Marekani yaafiki kuiuzia Saudi Arabia makombora yatakayogharimu dola milioni 650
Nov 05, 2021 04:17Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema nchi hiyo imeafiki ombi la Saudi Arabia la kuuziwa makombora ya anga kwa anga pamoja na zana zinazohusika kwa thamani ya dola milioni 650.
-
Timothy Langan: Ubaguzi wa rangi na wa kimbari unatishia Marekani zaidi kuliko Daesh
Nov 04, 2021 20:24Maafisa wa usalama wa Marekani wameiandikia barua Kongresi ya nchi hiyo wakisema kuwa, ukatili na ubaguzi wa rangi na wa kimbari ni tishio kubwa zaidi kwa nchi hiyo kuliko mashambulizi ya kigaidi ya makundi yenye misimamo ya kufurutu mipaka kama Daesh.
-
Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu
Nov 04, 2021 20:23Ukosoaji mtawalia wa viongozi wa Uturuki dhidi ya Umoja wa Ulaya hususan sera za chuki dhidi ya Uislamu za umoja huo, zinapaswa kutathminiwa kama juhudi za Ankara za kukabiliana na sera za madola ya Magharibi dhidi ya serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan na kuimarisha wenzo wa kuishinikiza jumuiya hiyo ya Ulaya.
-
Rais Raisi: Uharamia wa Marekani wa kuiba mafuta ya Iran ni kitendo cha aibu
Nov 04, 2021 08:34Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wizi wa mafuta ulioyofanywa na Marekani katika Bahari ya Oman ni kitendo cha aibu na fedhena.
-
Mwangwi wa dharba ya IRGC dhidi ya jeshi ya Marekani, vyombo vya habari vya US vyafyata mkia
Nov 04, 2021 04:23Kushiindwa kwa jeshi la Marekani mbele ya operesheni makini ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika maji ya Bahari ya Oman kumeibua mwangwi mkubwa katika vyombo vya habari vya kimataifa.
-
Sheikh Naeem Qasim: Juhudi za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli
Nov 04, 2021 04:22Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa uvamizi wa Marekani nchini Syria na juhudi za nchi hiyo za kutaka kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya zimefeli na kugonga mwamba.
-
Kuanza Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi huko Glasgow; shaka na mazingatio katika mkutano huo
Nov 03, 2021 07:48Mkutano kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi wa Umoja wa Mataifa (COP26) ulianza shughuli zake juzi Jumatatu katika mji wa Glasgow nchini Scotland kwa kuhudhuriwa na wakuu wa nchi zaidi ya 100 na viongozi wengine wa ngazi za juu wa nchi mbalimbali duniani.
-
Boris Johnson ajiunga na Biden, watwanga usingizi katikati ya mkutano wa tabianchi, Glasgow
Nov 03, 2021 07:18Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amejiunga na Rais wa Marekani Joe Biden na kutwanga usingizi mfupi wakati wa vikao vya Mkutano wa Hali ya Hewa unaofanyika Glasgow huko Scotland.
-
Khatibzadeh: Vitisho haviwezi kuzaa matunda mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Nov 03, 2021 04:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kujibu matamshi ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Antony Blinken aliyedai kuwa Washington inatafuta machaguo mengine ya kukabiiana na Iran na ameandika: Vitisho kamwe havijawahi kuzaa matunda mbele ya Iran.
-
Mazungumzo ya Biden na Macron, juhudi za Washington za kuimarisha uhusiano na Paris
Oct 31, 2021 07:05Ijumaa Rais Joe Biden wa Marekani alikutana na kuzungumza na mwenzake wa Ufaransa Rais Emmanuel Macron kuhusu mkataba wa mauzo ya nyambizi kati ya Washington na Canberra, ambao umeikasirisha sana Paris.