Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Pelosi atetea makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, amkosoa Yair Lapid

    Pelosi atetea makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, amkosoa Yair Lapid

    Oct 22, 2021 20:51

    Spika wa Kongresi ya Marekani ametetea makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi za kundi la 5+1 katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa utawla haramu wa Israel mjini Washington.

  • Kurejea Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la UN; shaka na shubha kuhusu suala hilo

    Kurejea Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la UN; shaka na shubha kuhusu suala hilo

    Oct 16, 2021 22:55

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa juzi Alhamisi liliiarifisha Marekani kuwa moja kati ya wanachama 18 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa. Duru ya miaka mitatu ya baraza hilo itaanza kuanzia Januari Mosi mwaka ujao wa 2022. Nchi wanachama wa baraza hilo huchaguliwa katika kila duru katika upigaji kura unaofanyika kwa njia ya siri.

  • Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Oct 16, 2021 03:53

    Akizungumza Jumatano mbele ya waandishi habari mjini Washington, Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema nchi hiyo haina nia ya kuunga mkono juhudi za kuboreshwa uhusiano na serikali ya Syria.

  • Kuendelea jinai za wanamgambo wa SDF kaskazini mwa Syria kwa uungaji mkono wa Marekani

    Kuendelea jinai za wanamgambo wa SDF kaskazini mwa Syria kwa uungaji mkono wa Marekani

    Oct 14, 2021 22:52

    Kwa mara nyingine tena katika siku za karibuni kumeongezeka jinai zinazofanywa na wanagambo kwa jina la vikosi vya kidemokrasia vya Syria (SDF) dhidi ya wakazi wa maeneo yanayoshikiliwa na wanamgambo hao huko Syria.

  • Hizbullah yaikosoa Marekani kwa kuingilia uchunguzi wa mlipuko wa Bandari ya Beirut

    Hizbullah yaikosoa Marekani kwa kuingilia uchunguzi wa mlipuko wa Bandari ya Beirut

    Oct 13, 2021 09:25

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutia pua katika uchunguzi juu ya mlipuko uliotokea mwaka jana katika Bandari ya Beirut.

  • Taliban yazionya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya kuidhoofisha serikali yake

    Taliban yazionya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya kuidhoofisha serikali yake

    Oct 13, 2021 04:09

    Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan amezitahadharisha tawala za Magharibi juu ya hatua yoyote ya kuudhoofisha utawala mpya ulioundwa na kundi hilo.

  • "Mgogoro wa Taiwan kuziingiza China na Marekani kwenye Vita vya Tatu vya Dunia"

    Oct 11, 2021 23:03

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Bunge la Russia amesema kuwa, ugomvi uliopo hivi sasa bina ya Marekani na China kuhusu Taiwan unaweza kuzusha mapigano ya kijeshi baina ya nchi hizo mbili na hata kupelekea kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Oct 08, 2021 23:58

    Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.

  • Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Oct 07, 2021 21:09

    Akizungumza karibuni katika jimbo la Michigan, Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi nyingine za dunia ziko mbioni kuishinda Marekani katika nyanja nyingi. Amesema licha ya kuwa Marekani bado inauongoza ulimwengu kiuchumi lakini inaendelea kupoteza taratibu nafasi yake hiyo.

  • Hizbullah: Tuna haki ya kuvunja mzingiro wa Marekani dhidi ya Lebanon

    Hizbullah: Tuna haki ya kuvunja mzingiro wa Marekani dhidi ya Lebanon

    Oct 06, 2021 09:26

    Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la muqawama lina haki ya kutumia njia zote halali kulilinda taifa la Lebanon, na kuvunja vikwazo na mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS