Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Saudi Arabia ni kibaraka wa Marekani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Saudi Arabia ni kibaraka wa Marekani

    Oct 06, 2021 04:45

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Serikali ya Uokovu wa Taifa nchini Yemen amesema kuwa maslahi ya Marekani ndiyo yanayotawala maamuzi ya Saudi Arabia na washirika wake katika suala la kusitisha vita na uvamizi wao dhidi ya taifa la Yemen.

  • Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Oct 05, 2021 07:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi yake iko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote yale.

  • Waliouawa na corona Marekani wapindukia laki saba, sababu na athari zake

    Waliouawa na corona Marekani wapindukia laki saba, sababu na athari zake

    Oct 04, 2021 01:03

    Baada ya kupita yapata miaka miwili sasa tangu mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona ulipoikumba Marekani, idadi ya Wamarekani waliouawa na virusi hivyo imepindukia laki saba. Katika kipindi cha miezi mitatu na nusu iliyopita pekee zaidi ya Wamarekani laki moja wameaga dunia kutokana na Covid-19 licha ya kiwango kikubwa cha chanjo kilichotolewa nchini humo.

  • Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Oct 03, 2021 01:09

    Naibu Kamanda wa Wilaya ya Kati ya Jeshi la Russia amesema kuwa jeshi la Marekani linawahamisha magaidi walioko Syria na kuwapeleka Afghanistan.

  • Foreign Policy: Sera ya mashinikizo ya juu ya kabisa ya Marekani dhidi ya Iran imeshindwa kikamilifu

    Foreign Policy: Sera ya mashinikizo ya juu ya kabisa ya Marekani dhidi ya Iran imeshindwa kikamilifu

    Sep 30, 2021 22:56

    Jarida la Foreign Policy la nchini Marekani limeeleza katika ripoti yake kwamba, sera za mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran imeshindwa kikamilifu; na Tehran haina hofu yoyote kuhusiana na Marekani.

  • Wasiopiga chanjo wavunjisha tena rekodi ya vifo vya corona Marekani

    Wasiopiga chanjo wavunjisha tena rekodi ya vifo vya corona Marekani

    Sep 30, 2021 02:57

    Idadi ya watu wanaokufa kutokana na corona nchini Marekani imekuwa ikiongezeka kila siku katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

  • Mahakama ya ICC yafumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan

    Mahakama ya ICC yafumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan

    Sep 28, 2021 08:39

    Licha ya uhalifu mkubwa na ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani nchini Afghanistan katika kipindi cha miongo miwili iliyopita, Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) sasa inakusudia kuweka kando uchunguzi kuhusu uhalifu wa kivita uliofanywa na wanajeshi wa Marekani na NATO nchini humo.

  • Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Sep 27, 2021 22:55

    Marekani imesema kuna uwezekano wa kuiwekea Uturuki vikwazo vipya kwa sababu ya ununuzi wa mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia.

  • Asilimia 70 ya Wademocrat hawataki Trump agombee urais mwaka 2024

    Asilimia 70 ya Wademocrat hawataki Trump agombee urais mwaka 2024

    Sep 27, 2021 01:02

    Asilimia 70 ya Wademocrat nchini Marekani wanapinga jaribio la aina yoyote la rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump kugombea katika uchaguzi wa rais mwaka 2024.

  • Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa

    Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa

    Sep 23, 2021 22:46

    Kufuatia mazungumzo ya simu ya Marais Joe Biden wa Marekani na Emmanuel Macron wa Ufaransa hapo siku ya Jumatano, viongozi hao wametoa taarifa ya pamoja wakisema wameamua kuendelea na mashauriano kwa ajili ya kutatua hitilifu zilizojitokeza baina ya pande mbili kuhusu mkataba wa kiusalama wa AUKUS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS