-
Mahakama ya Kilele ya Marekani yapinga ombi la Trump la kugeuza matokeo ya uchaguzi wa rais
Dec 13, 2020 07:18Baada ya kupita zaidi ya siku 40 tokea ufanyike uchaguzi wa rais nchini Marekani, Rais Donald Trump ambaye alikuwa mgombea wa chama cha Republican amekuwa akitaka matokeo ya uchaguzi yanayoonesha kuwa mshindani wake wa chama cha upinzani cha Democrat Joe Biden ameshinda, yabatilishwe. Trump hadi sasa amekataa kukubali kushindwa.
-
Hatua za Marekani katika vita dhidi ya Yemen; kuunga mkono vita na kuiwekea vikwazo Ansarullah
Dec 13, 2020 02:04Katika kuendelea na hatua zake za kiuhasama dhidi ya Sana'a, serikali ya Marekani imewawekea vikwazo viongozi watano wa Yemen.
-
Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni
Dec 12, 2020 08:06Rais Donald Trump wa Marekani juzi Alhamisi alituma ujumbe katika ukurasa wake wa twitter na kueleza kuwa Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel zimefikia mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia.
-
Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati
Dec 10, 2020 23:26Marekani daima imekuwa ikitumia porojo kulioonesha eneo la Asia Magharibi kwamba, linakabiliwa na ukosefu wa amani na kueneza chuki dhidi ya Iran sambamba na kuionyesa mbele ya macho ya mataifa ya eneo hili kwamba, ni tishio ili kwa njia hiyo ijiandalie uwanja wa kuziuzia silaha nchi za Ukanda wa kusini mwa Ghuba ya Uajemi.
-
Obama: Siasa zangu ndizo zitakazoendelezwa na Joe Biden
Dec 10, 2020 23:22Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amekiri kwamba siasa za serikali ya Joe Biden, rais mteule wa nchi hiyo zitakuwa zile zile alizokuwa nazo yeye wakati wa uongozi wake.
-
Madai ya uongo ya Marekani kuhusu kuondolewa dawa na vifaa vya matibabu katika vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran
Dec 10, 2020 13:00Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA mwano Mei 2018, nchi hiyo imeiwekea Iran vikwazo vikali zaidi chini ya siasa za 'mashinikizo ya juu kabisa', na tokea wakati huo imekuwa ikiongeza vikwazo hivyo visivyo vya kibinadamu bila kujali kuenea nchini na duniani virusi vya maradhi hatari ya corona.
-
Amnesty yaiomba Marekani iache kuiuzia silaha UAE kwa sababu itazitumia kuulia raia
Dec 08, 2020 23:07Shirika la kutetea haki za binadamu la Msamaha Duniani, Amnesty International limeiomba Marekani isitishe uuzaji silaha kwa Imarati kwa sababu itazitumia silaha hizo kuulia raia wasio na hatia.
-
Jumanne, Desemba 08, 2020
Dec 07, 2020 23:33Leo ni Jumanne tarehe 22 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Desemba mwaka 2020 Miladia
-
Balozi wa Iran UN: Ukatili wa Marekani katika zama za COVID-19 utakumbukwa katika historia
Dec 07, 2020 03:36Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Iran inafahamu vyema namna ambavyo vikwazo vya Marekani vinaathiri uwezo wa nchi katika kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.
-
Mpwa wa Trump: Jela ndiko anakostahili kupelekwa Trump baada ya kuondoka White House
Dec 06, 2020 03:46Mpwa wa rais wa Marekani Donald Trump amesema, rais huyo ni mhalifu, katili na haini; na kwamba jela ndipo mahali anapostahili kupelekwa baada ya kuondoka Ikulu ya White House.