Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani

    Misimamo ya maafisa wa serikali ya Biden kuhusu Iran; kurudiwa misamiati ile ile ya zamani

    Jan 20, 2021 23:40

    Sherehe za kutawazwa Joseph Robinette Biden Jr. kuwa rais wa 46 wa Marekani zimefanyika katika hali ambayo, Jumanne, tarehe 19 Januari 2021, maafisa wa ngazi za juu wa serikali yake walitumia kikao cha Baraza la Sanate la nchi hiyo kutangaza misimamo yao kuhusu Tehran na masuala yanayohusiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Jan 19, 2021 23:41

    Uganda imeikosoa vikali Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jan 18, 2021 23:05

    Hivi karibuni Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alitangaza kuwa serikali ya Rais Donald Trump imeijulisha rasmi Congress ya nchi hiyo kuwa imeliweka kundi la mapambano ya Kiislamu la Ansarullah la nchini Yemen katika orodha ya makundi yanayotuhumiwa kuunga mkono ugaidi, uamuzi ambao umekabiliwa na upinzani mkali wa kimataifa.

  • Jenerali Baqeri: Marekani inaogopa uwezo wa kiulinzi wa Iran

    Jenerali Baqeri: Marekani inaogopa uwezo wa kiulinzi wa Iran

    Jan 18, 2021 10:58

    Kamanda wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema harakati na mienendo ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi haina thamani yoyote ya kioperesheni, na badala yake inaonesha wazi namna dola hilo la kibeberu linatiwa kiwewe na uwezo mkubwa wa kujihami wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mbali na mafuta, Marekani sasa inaiba mazao ya mashamba ya Wasyria

    Mbali na mafuta, Marekani sasa inaiba mazao ya mashamba ya Wasyria

    Jan 18, 2021 08:26

    Sambamba na kuendelea wizi wa mafuta ya Syria unaofanywa na wanajeshi magaidi wa Marekani, askari hao vamizi sasa wameanza kupora mazao ya mashamba ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Meya wa Washington DC atahadharisha kujiri mashambulizi katika mji mkuu huo

    Meya wa Washington DC atahadharisha kujiri mashambulizi katika mji mkuu huo

    Jan 18, 2021 04:51

    Meya wa mji mkuu wa Marekani ametahadharisha juu ya kujiri mashambulizi katika maeneo mbalimbali ya Washington DC na katika majimbo mengine ya nchi hiyo.

  • Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu ndege za kivita aina ya B-52

    Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu ndege za kivita aina ya B-52

    Jan 18, 2021 01:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria uwepo wa ndege za kivita za Marekani aina ya B-52 katika eneo la Asia Magharibi na kuonya kuwa, Iran haitasita kutungua chombo chochote kinachokiuka anga yake.

  • Mabadiliko katika stratijia ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi

    Mabadiliko katika stratijia ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi

    Jan 18, 2021 01:19

    Marekani imetoa huduma kubwa kwa utawala haramu wa Israel katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi: Askari wa Marekani lazima waondoke Iraq

    Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi: Askari wa Marekani lazima waondoke Iraq

    Jan 18, 2021 01:17

    Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq amesisitiza ulazima wa kutekelezwa mpango uliopitishwa na bunge wa kutaka askari wa jeshi la Marekani waondoke nchini humo.

  • Mgogoro wa uongozi Marekani, mtu mmoja akamatwa na silaha na risasi 500 haramu Washington DC

    Mgogoro wa uongozi Marekani, mtu mmoja akamatwa na silaha na risasi 500 haramu Washington DC

    Jan 17, 2021 09:50

    Polisi ya Upelelezi ya Marekani FBI imemtia mbaroni mtu mmoja akiwa na silaha na risasi 500 haramu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS