Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mahakama ya Kilele ya Marekani yapinga ombi la Trump la kugeuza matokeo ya uchaguzi wa rais

    Mahakama ya Kilele ya Marekani yapinga ombi la Trump la kugeuza matokeo ya uchaguzi wa rais

    Dec 13, 2020 07:18

    Baada ya kupita zaidi ya siku 40 tokea ufanyike uchaguzi wa rais nchini Marekani, Rais Donald Trump ambaye alikuwa mgombea wa chama cha Republican amekuwa akitaka matokeo ya uchaguzi yanayoonesha kuwa mshindani wake wa chama cha upinzani cha Democrat Joe Biden ameshinda, yabatilishwe. Trump hadi sasa amekataa kukubali kushindwa.

  • Hatua za Marekani katika vita dhidi ya Yemen; kuunga mkono vita na kuiwekea vikwazo Ansarullah

    Hatua za Marekani katika vita dhidi ya Yemen; kuunga mkono vita na kuiwekea vikwazo Ansarullah

    Dec 13, 2020 02:04

    Katika kuendelea na hatua zake za kiuhasama dhidi ya Sana'a, serikali ya Marekani imewawekea vikwazo viongozi watano wa Yemen.

  • Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Dec 12, 2020 08:06

    Rais Donald Trump wa Marekani juzi Alhamisi alituma ujumbe katika ukurasa wake wa twitter na kueleza kuwa Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel zimefikia mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia.

  • Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Dec 10, 2020 23:26

    Marekani daima imekuwa ikitumia porojo kulioonesha eneo la Asia Magharibi kwamba, linakabiliwa na ukosefu wa amani na kueneza chuki dhidi ya Iran sambamba na kuionyesa mbele ya macho ya mataifa ya eneo hili kwamba, ni tishio ili kwa njia hiyo ijiandalie uwanja wa kuziuzia silaha nchi za Ukanda wa kusini mwa Ghuba ya Uajemi.

  • Obama: Siasa zangu ndizo zitakazoendelezwa na Joe Biden

    Obama: Siasa zangu ndizo zitakazoendelezwa na Joe Biden

    Dec 10, 2020 23:22

    Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amekiri kwamba siasa za serikali ya Joe Biden, rais mteule wa nchi hiyo zitakuwa zile zile alizokuwa nazo yeye wakati wa uongozi wake.

  • Madai ya uongo ya Marekani kuhusu kuondolewa dawa na vifaa vya matibabu katika vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran

    Madai ya uongo ya Marekani kuhusu kuondolewa dawa na vifaa vya matibabu katika vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran

    Dec 10, 2020 13:00

    Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA mwano Mei 2018, nchi hiyo imeiwekea Iran vikwazo vikali zaidi chini ya siasa za 'mashinikizo ya juu kabisa', na tokea wakati huo imekuwa ikiongeza vikwazo hivyo visivyo vya kibinadamu bila kujali kuenea nchini na duniani virusi vya maradhi hatari ya corona.

  • Amnesty yaiomba Marekani iache kuiuzia silaha UAE kwa sababu itazitumia kuulia raia

    Amnesty yaiomba Marekani iache kuiuzia silaha UAE kwa sababu itazitumia kuulia raia

    Dec 08, 2020 23:07

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Msamaha Duniani, Amnesty International limeiomba Marekani isitishe uuzaji silaha kwa Imarati kwa sababu itazitumia silaha hizo kuulia raia wasio na hatia.

  • Jumanne, Desemba 08, 2020

    Jumanne, Desemba 08, 2020

    Dec 07, 2020 23:33

    Leo ni Jumanne tarehe 22 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Desemba mwaka 2020 Miladia

  • Balozi wa Iran UN: Ukatili wa Marekani katika zama za COVID-19 utakumbukwa katika historia

    Balozi wa Iran UN: Ukatili wa Marekani katika zama za COVID-19 utakumbukwa katika historia

    Dec 07, 2020 03:36

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Iran inafahamu vyema namna ambavyo vikwazo vya Marekani vinaathiri uwezo wa nchi katika kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.

  • Mpwa wa Trump: Jela ndiko anakostahili kupelekwa Trump baada ya kuondoka White House

    Mpwa wa Trump: Jela ndiko anakostahili kupelekwa Trump baada ya kuondoka White House

    Dec 06, 2020 03:46

    Mpwa wa rais wa Marekani Donald Trump amesema, rais huyo ni mhalifu, katili na haini; na kwamba jela ndipo mahali anapostahili kupelekwa baada ya kuondoka Ikulu ya White House.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS