Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuwait: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo

    Kuwait: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo

    Dec 13, 2019 23:36

    Mwakilishi wa Kuwait katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo.

  • Kiwango cha ukosefu wa ajira nchini Marekani chaongezeka maradufu

    Kiwango cha ukosefu wa ajira nchini Marekani chaongezeka maradufu

    Dec 13, 2019 23:34

    Wizara ya Kazi nchini Marekani imetoa ripoti mpya ikisema kuwa kiwango cha ukosefu wa ajira nchini humo kimeongezeka kwa kiwango cha juu.

  • Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Dec 13, 2019 06:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeikosoa Marekani kutokana na jinai zake dhidi ya ubinadamu na haki za binadamu katika maeneo mbalimbali ya dunia na imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai hizo.

  • Guterres asisitiza kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka azimio 2231

    Guterres asisitiza kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka azimio 2231

    Dec 13, 2019 05:33

    Rais Donald Trump wa Marekani ni mpinazni mkali wa mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) akiyataja kuwa ni mapatano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa katika historia ya Marekani.

  • Ripoti: Watoto walioko katika jela nchini Marekani wanabakwa na kudhalilishwa

    Ripoti: Watoto walioko katika jela nchini Marekani wanabakwa na kudhalilishwa

    Dec 12, 2019 21:13

    Ripoti mpya ya Taasisi ya Takwimu za Sheria ya Marekani imefichua kuwa, asilimia 7.1 ya watoto walioko katika mamia ya jela na vituo vya kurekebisha tabia vya watoto nchini Marekani walibakwa na kufanyiwa vitendo vingine vya udhalilishaji katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

  • Mpango wa Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa Marekani barani Ulaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa

    Mpango wa Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa Marekani barani Ulaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa

    Dec 11, 2019 04:41

    Donald Trump, rais machachari na mwenye makeke wa Marekani amewahi kusikika mara kadhaa akiwalaumu na kuwakosoa waitifaki wa Washington wa barani Ulaya na hata kutishia kwamba, nchi yake haitakuwa tayari kuendelea kugharimika kwa ajili ya usalama wa nchi za bara hilo; hata hivyo mpango uliotangazwa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa nchi hiyo barani Ulaya umeyatoa maanani madai hayo ya Trump.

  • Luxembourg yaiandikia barua EU kuhusu kutambuliwa rasmi taifa la Palestina

    Luxembourg yaiandikia barua EU kuhusu kutambuliwa rasmi taifa la Palestina

    Dec 09, 2019 23:50

    Luxembourg imeuandikia barua Umoja wa Ulaya, ikiutaka umoja huo uitambue rasmi nchi huru ya Palestina.

  • Hafla ya

    Hafla ya "Milango Wazi" yafanyika katika misikiti Marekani kwa ajili ya kuutangaza Uislamu

    Dec 09, 2019 08:53

    Waislamu katika jimbo la Ohio nchini Marekani wamefanya hafla iliyopewa jina la "Milango Wazi" katika misikiti yao kwa kuwakaribisha wasio Waislamu misikitini humo ili waweze kuuelewa Uislamu.

  • Seneta wa Republican: Saudi Arabia ni mhusika  wa ugaidi dhidi ya Marekani

    Seneta wa Republican: Saudi Arabia ni mhusika wa ugaidi dhidi ya Marekani

    Dec 09, 2019 04:33

    Seneta wa chama tawala cha Republican nchini Marekani amesema Saudi Arabia inabeba dhima ya matukio ya kigaidi dhidi ya Marekani.

  • Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi

    Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi

    Dec 08, 2019 23:11

    Serikali ya rais Donald Trump imekuwa ikitekeleza hatua zisizo za kawaida katika uwanja wa kuunga mkono vitendo vilivyo kinyume cha sheria vya utawala haramu wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS