Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Zarif: Mafanikio ya kisayansi ya wasomi Wairani ni mwiba katika macho ya maadui

    Zarif: Mafanikio ya kisayansi ya wasomi Wairani ni mwiba katika macho ya maadui

    Dec 08, 2019 01:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, Marekani imekuwa ikijaribu kuzuia ustawi wa Iran lakini haijaweza kufanikiwa.

  • Raia wa Saudia awapiga risasi watu 11 nchini Marekani

    Raia wa Saudia awapiga risasi watu 11 nchini Marekani

    Dec 07, 2019 04:04

    Mwanafunzi wa urubani raia wa Saudi Arabia amewafytaulia risasi watu 11 na kuua watatu miongoni mwao katika kambi ya kijeshi ya Pensacola jimboni Florida nchini Marekani.

  • Tahadhari ya Russia kuhusu uwezekano wa kusambaratika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Tahadhari ya Russia kuhusu uwezekano wa kusambaratika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Dec 06, 2019 07:00

    Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka 2018 wanachama wengine wa makubaliano hayo wamekuwa wakitilia mkazo udharura wa kulindwa mapatano hayo ya kimataifa kutokana na umuhimu wake katika kulinda amani na usalama wa kimataifa.

  • Sera za undumilakuwili za Marekani nchini Syria

    Sera za undumilakuwili za Marekani nchini Syria

    Dec 06, 2019 04:34

    Tangu mwaka 2014, Marekani imejiingiza kijeshi kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh; na hivi sasa pia, licha ya madai ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba imejiondoa kijeshi katika ardhi ya Syria, imeshatafuta kisingizio kingine kipya ili kurefusha muda wa kuweko askari wake nchini humo.

  • Troika ya Ulaya yafuata nyazo za Marekani katika njama dhidi ya mpango wa makombora ya kujihami ya Iran

    Troika ya Ulaya yafuata nyazo za Marekani katika njama dhidi ya mpango wa makombora ya kujihami ya Iran

    Dec 05, 2019 23:18

    Pamoja na kuwa nchi za Ulaya zinadai kuwa zinaunga mkono ulindwaji wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) inatekeleza sera za vitisho dhidi ya Iran na imeamua kufuata nyayo za Marekani katika kupinga uwezo wa makombora ya Iran ambayo lengo lake ni kujihami tu.

  •  Marekani yaendeleza jitihada za kuishinikiza Uturuki iache kununua ngao ya makombora ya S-400

    Marekani yaendeleza jitihada za kuishinikiza Uturuki iache kununua ngao ya makombora ya S-400

    Dec 05, 2019 03:53

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuwa Washington ingali inaendelea kufanya mazungumzo na kuishinikiza Ankara ili iachane na mpango wake wa kutaka kununua ngao ya makombora ya S-400 kutoka Russia.

  • Marekani yafanya kwa siri jaribio la kombora la kizazi kipya la 'Ninja' nchini Syria

    Marekani yafanya kwa siri jaribio la kombora la kizazi kipya la 'Ninja' nchini Syria

    Dec 04, 2019 13:18

    Jeshi vamizi la Marekani na katika mwendelezo wa operesheni zake za siri huko kaskazini mwa Syria, kwa mara nyingine limelifanyia majaribio kombora lake la kizazi kipya linaloitwa 'Ninja.'

  • Rouhani: Mazungumzo na kundi la 5+1 yanawezekana iwapo vikwazo vya kidhalimu dhidi ya Iran vitaondolewa

    Rouhani: Mazungumzo na kundi la 5+1 yanawezekana iwapo vikwazo vya kidhalimu dhidi ya Iran vitaondolewa

    Dec 04, 2019 04:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema yuko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa kundi la 5+1 iwapo Marekani italiondolea taifa hili vikwazo vyake vya kidhalimu.

  • Ijumaa Nyeusi, Wamarekani walinunua silaha zinazolitosha jeshi la nchi kavu

    Ijumaa Nyeusi, Wamarekani walinunua silaha zinazolitosha jeshi la nchi kavu

    Dec 03, 2019 23:31

    Idara ya Upepezi ya Marekani (FBI) imetangaza kwamba imepokea maombi zaidi ya laki mbili ya kufanya uchunguzi kuhusiana na mauzo ya silaha za moto kwa mnasaba wa siku ya Ijumaa Nyeusi (Black Friday), kiwango ambacho ni cha pili kwa ukubwa cha mauzo ya silaha tangu mwaka 1998.

  • Watu 54 wauawa au kujeruhiwa kwa kufyatuliwa risasi Marekani

    Watu 54 wauawa au kujeruhiwa kwa kufyatuliwa risasi Marekani

    Dec 02, 2019 01:13

    Idara ya Takwimu za Utumiaji Silaha kwa Mabavu Marekani imesema watu 54 wameuawa au kujeruhiwa katika vitendo vya ufatulianaji risasi nchini humo katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS