Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Umri wa kuishi Wamarekani unazidi kupungua

    Umri wa kuishi Wamarekani unazidi kupungua

    Nov 28, 2019 01:01

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa jarida la wiki la Newsweek la nchini Marekani unaonyesha kwamba umri wa kuishi Wamarekani unaendelea kupungua.

  • Raia weusi 3 wa Marekani waachiwa huru baada ya kufungwa jela bila ya hatia kwa miaka 36

    Raia weusi 3 wa Marekani waachiwa huru baada ya kufungwa jela bila ya hatia kwa miaka 36

    Nov 27, 2019 04:41

    Wamarekani 3 weusi wameachiwa huru baada ya kufungwa jela kwa kipindi cha miaka 36 kwa tuhuma za kufanya mauaji.

  • Wapalestina wapambana na askari wa Israel katika maandamano ya

    Wapalestina wapambana na askari wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu"

    Nov 26, 2019 22:13

    Wapalestina mapema leo wamepigana na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika maandamano ya "Siku ya Ghadhabu" kupinga siasa za Marekani za kukingia kifua na kuhalalisha wizi wa ardhi za Palestina.

  • Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa nchini Imarati; tangazo la kuundwa muungano wa baharini

    Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa nchini Imarati; tangazo la kuundwa muungano wa baharini

    Nov 26, 2019 22:11

    Ufaransa imekuwa na msimamo wa kindumakuwili kuhusiana na matukio ya hivi karibuni katika Ghuba ya Uajemi hususan masuala yanayohusiana na Iran; kwani sambamba na kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Paris inataka kuchukuliwa hatua dhidi ya kile kinachoelezwa kuwa, “hatua za Iran zinazohatarisha usalama wa eneo.”

  • Arab League yapinga rasmi msimamo wa Marekani dhidi ya Palestina kuhusu ujenzi wa vitongoji

    Arab League yapinga rasmi msimamo wa Marekani dhidi ya Palestina kuhusu ujenzi wa vitongoji

    Nov 26, 2019 04:35

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wametoa taarifa maalumu ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina dhidi ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Hizbullah yapinga masharti ya Marekani kwa ajili ya kuundwa serikali mpya ya Lebanon

    Hizbullah yapinga masharti ya Marekani kwa ajili ya kuundwa serikali mpya ya Lebanon

    Nov 26, 2019 04:32

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepinga masharti yaliyotolewa na Marekani kwa ajili ya kuundwa serikali mpya ya Lebanon.

  • Kupigwa kalamu nyekundu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Marekani kwa kupinga amri ya Trump

    Kupigwa kalamu nyekundu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Marekani kwa kupinga amri ya Trump

    Nov 26, 2019 03:14

    Rais Donald Trump wa Marekani ameendelea kukiuka na kufumbia macho taratibu za kisheria ambapo mara kwa mara amekuwa akiingilia moja kwa moja masuala tofauti ya idara za serikali na za jeshi la nchi hiyo.

  • Uturuku kuufanyia majaribio mfumo wa S-400 licha ya vitisho vya US

    Uturuku kuufanyia majaribio mfumo wa S-400 licha ya vitisho vya US

    Nov 26, 2019 00:45

    Jeshi la Uturuki limesema karibuni hivi litaanza kuufanyia majaribio mfumo wake wa ulinzi wa makombora wa S-400 ulionunuliwa kutoka Russia, licha ya vitisho vya kuwekewa vikwazo na Marekani.

  • Wapiganaji wa Haftar watungua drone ya Marekani 'kimakosa'

    Wapiganaji wa Haftar watungua drone ya Marekani 'kimakosa'

    Nov 26, 2019 00:45

    Kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na Khalifa Haftar limetangaza kuwa lilitungua ndege isiyo na rubani ya Marekani kwa bahati mbaya.

  • Bunge la Waarabu laitaka Marekani iiondoe Sudan katika orodha ya ugaidi

    Bunge la Waarabu laitaka Marekani iiondoe Sudan katika orodha ya ugaidi

    Nov 25, 2019 08:46

    Bunge la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu limeitaka Marekani iiondoe Sudan kwenye orodha ya Washington ya eti nchi zinazounga mkono ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS