Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa China akosoa hatua za upande mmoja za Marekani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China akosoa hatua za upande mmoja za Marekani

    Nov 25, 2019 04:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China ametoa matamshi makali na kukosoa hatua na misimamo ya upande mmoja ya Marekani dhidi ya China na kueleza kuwa Washington ni chanzo kikuu cha ukosefu wa amani duniani.

  • Trump: FBI ilitaka kupindua serikali yangu

    Trump: FBI ilitaka kupindua serikali yangu

    Nov 24, 2019 23:19

    Rais Donald Trump wa Marekani amekosoa vikali mwenendo wa uchunguzi kuhusu kampeni za uchaguzi wa rais wa mwaka 2016 na kudai kuwa, Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) lilikuwa na nia ya kupindua serikali yake.

  • Kuongezeka upinzani kwa hatua ya Marekani kuunga mkono ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Kuongezeka upinzani kwa hatua ya Marekani kuunga mkono ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Nov 24, 2019 23:18

    Uungaji mkono wa kila upande wa White House kwa siasa za kupenda kujitanua za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hususan katika kuutambua kuwa halali ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, si tu kwamba umeibua hasira za walimwengu, bali umewafanya wabunge wa chama cha Democrat katika bunge la wawakilishi nchini Marekani kukosoa ukiukaji huo wa Washington wa sheria za kimataifa.

  • Morales afichua nafasi ya serikali ya Marekani katika mapinduzi ya Bolivia

    Morales afichua nafasi ya serikali ya Marekani katika mapinduzi ya Bolivia

    Nov 24, 2019 04:26

    Rais aliyejiuzulu wa Bolovia amefichua nafasi ya serikali ya Marekani katika kujiri mapinduzi nchini humo.

  • Madai ya kijuba ya Marekani kuwa eti inakalia visima vya mafuta vya Syria kisheria

    Madai ya kijuba ya Marekani kuwa eti inakalia visima vya mafuta vya Syria kisheria

    Nov 24, 2019 04:23

    Tokea mwaka 2014, Marekani iliingia nchini Syria kinyume cha sheria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la ISIS (Daesh). Kinyume na madai ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ataondoa askari wa Marekani walioko Syria, hivi sasa wanajeshi hao wameongeza muda wa kuwepo kwao katika nchi hiyo ya Kiarabu kwa kisingizio kingine.

  • Upinzani dhidi ya uungaji mkono wa Marekani kwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi huko Palestina, waongezeka

    Upinzani dhidi ya uungaji mkono wa Marekani kwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi huko Palestina, waongezeka

    Nov 23, 2019 23:44

    Misaada na uungaji mkono wa pande zote wa maafisa wa White House kwa siasa za utawala haramu wa Israel hususan hatua ya serikali ya Washington ya kuhalalisha ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina inaendelea kuamsha hasira za walimwengu.

  • Hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Iran

    Hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Iran

    Nov 23, 2019 09:00

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imeiwekea Iran vikwazo vikali ikiwa ni katika kutekeleza siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi. Wakati huo huo ghasia zilizotokea hivi karibuni nchini Iran zimetumiwa na serikali ya Washington kuwawekea vikwazo vipya viongozi wa ngazi ya juu wa Iran ikiwa ni katika kuunga mkono ukosefu huo wa amani na wasababishaji wa ghasia hizo.

  • Meja Jenerali Rashid: Ili kulinda roho za askari wake, Marekani inapasa kuchunga mienendo yake

    Meja Jenerali Rashid: Ili kulinda roho za askari wake, Marekani inapasa kuchunga mienendo yake

    Nov 22, 2019 23:10

    Kamanda wa kituo cha Khatamul-Anbiya (saw) cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ili kulinda roho za askari wake, Marekani inapasa kujiepusha na mienendo ghalati katika eneo la Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormoz.

  • Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Nov 22, 2019 23:08

    Makumi ya wanaharakati wamefanya maandamano katika mji wa Chicago jimboni Illinois nchini Marekani, kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa hivi karibuni na ndege za jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wanachama wa Baraza la Usalama waikosoa vikali Marekani

    Wanachama wa Baraza la Usalama waikosoa vikali Marekani

    Nov 22, 2019 23:08

    Rais Donald Trump wa Marekani amechukua msimamo wa kuunga mkono kwa hali na mali na bila ya masharti yoyote utawala haramu wa Israel na licha ya maazimio kadhaa ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayopiga marufuku kuunganishwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo tokea mwaka 1967, ikiwemo miinuka ya Golan ya Syria, lakini bado serikali ya Washington inauchukulia ukaliaji mabavu huo wa utawala wa Kizayuni kuwa ni jambo halali na linaloruhusiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS