Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waislamu milioni 27 wameuawa katika 'vita dhidi ya ugaidi' vya Marekani

    Waislamu milioni 27 wameuawa katika 'vita dhidi ya ugaidi' vya Marekani

    Nov 22, 2019 10:38

    Msomi na mwanafikra mashuhuri wa Marekani amesema zaidi ya Waislamu milioni 27 wameuawa kutokana na vita vilivyoibuliwa na Marekani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 hadi sasa.

  • Watawala wa Marekani waendelea kuunga mkono ghasia za karibuni nchini Iran

    Watawala wa Marekani waendelea kuunga mkono ghasia za karibuni nchini Iran

    Nov 22, 2019 09:33

    Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo imezidisha uhasama wake dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran na inatekeleza mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Tehran ili eti kuilazimisha ikubali matakwa yake.

  • Kuzidi kuharibika uhusiano wa Marekani na Pakistan

    Kuzidi kuharibika uhusiano wa Marekani na Pakistan

    Nov 21, 2019 23:45

    Siku chache zilizopita, Pakistan haikuruhusu ndege moja ya kijeshi ya Marekani kutumia anga yake ikiwa ni katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuharibika uhusiano wa Washington na Islamabad.

  • Venezuela: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Venezuela: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Nov 20, 2019 21:35

    Venezuela imetangaza kuwa mamilioni ya dola ambazo ni mali ya wananchi wa nchi hiyo zimeathiriwa na hatua za vitisho na za upande mmoja za Marekani; na huo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Russia yakosoa hatua ya Marekani ya kutuma askari wengine nchini Saudia

    Russia yakosoa hatua ya Marekani ya kutuma askari wengine nchini Saudia

    Nov 20, 2019 21:34

    Serikali ya Russia kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutuma askari wengine nchini Saudi Arabia.

  • Hatua mpya ya serikali ya Trump ya kuunga mkono hatua haramu za utawala wa Kizayuni

    Hatua mpya ya serikali ya Trump ya kuunga mkono hatua haramu za utawala wa Kizayuni

    Nov 20, 2019 03:35

    Moja ya misingi ya wazi kabisa ya sera za kigeni za Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump ni kuuunga mkono bila masharti utawala haramu wa Israel na kutekeleza kivitendo hatua ambazo marais waliotangulia wa nchi hiyo walijizuia kuzitekeleza.

  • EU yatofautiana na US kuhusu uporaji wa ardhi za Wapalestina

    EU yatofautiana na US kuhusu uporaji wa ardhi za Wapalestina

    Nov 19, 2019 04:36

    Umoja wa Ulaya umeshikilia msimamo wake kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni haramu na kinyume cha sheria za kimataifa.

  • Umaarufu wa Donald Trump wazidi kuporomoka nchini Marekani

    Umaarufu wa Donald Trump wazidi kuporomoka nchini Marekani

    Nov 18, 2019 23:11

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonesha kuwa, idadi kubwa zaidi ya Wamarekani hawamtaki rais wa nchi hiyo Donald Trump na wanaamini kwamba ni mkosa katika kashfa ya "Ukraine Gate."

  • Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo

    Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo

    Nov 18, 2019 23:10

    Kwa mara nyingine Marekani imetoa vitisho vikali kwa Misri kutokana na uamuzi wake wa kununua ndege aina ya Sukhoi-35 kutoka Russia.

  • Trump na vitisho vya kuirubuni Japan ilipe gharama kubwa zaidi ili ipatiwe ulinzi na Marekani

    Trump na vitisho vya kuirubuni Japan ilipe gharama kubwa zaidi ili ipatiwe ulinzi na Marekani

    Nov 17, 2019 09:57

    Kwa mara kadhaa Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akisisitizia suala la kuangaliwa upya uhusiano wa Washington na waitifaki wake katika pembe mbalimbali za dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS