-
Waislamu milioni 27 wameuawa katika 'vita dhidi ya ugaidi' vya Marekani
Nov 22, 2019 10:38Msomi na mwanafikra mashuhuri wa Marekani amesema zaidi ya Waislamu milioni 27 wameuawa kutokana na vita vilivyoibuliwa na Marekani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 hadi sasa.
-
Watawala wa Marekani waendelea kuunga mkono ghasia za karibuni nchini Iran
Nov 22, 2019 09:33Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo imezidisha uhasama wake dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran na inatekeleza mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Tehran ili eti kuilazimisha ikubali matakwa yake.
-
Kuzidi kuharibika uhusiano wa Marekani na Pakistan
Nov 21, 2019 23:45Siku chache zilizopita, Pakistan haikuruhusu ndege moja ya kijeshi ya Marekani kutumia anga yake ikiwa ni katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuharibika uhusiano wa Washington na Islamabad.
-
Venezuela: Vikwazo vya Marekani ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Nov 20, 2019 21:35Venezuela imetangaza kuwa mamilioni ya dola ambazo ni mali ya wananchi wa nchi hiyo zimeathiriwa na hatua za vitisho na za upande mmoja za Marekani; na huo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Russia yakosoa hatua ya Marekani ya kutuma askari wengine nchini Saudia
Nov 20, 2019 21:34Serikali ya Russia kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutuma askari wengine nchini Saudi Arabia.
-
Hatua mpya ya serikali ya Trump ya kuunga mkono hatua haramu za utawala wa Kizayuni
Nov 20, 2019 03:35Moja ya misingi ya wazi kabisa ya sera za kigeni za Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump ni kuuunga mkono bila masharti utawala haramu wa Israel na kutekeleza kivitendo hatua ambazo marais waliotangulia wa nchi hiyo walijizuia kuzitekeleza.
-
EU yatofautiana na US kuhusu uporaji wa ardhi za Wapalestina
Nov 19, 2019 04:36Umoja wa Ulaya umeshikilia msimamo wake kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni haramu na kinyume cha sheria za kimataifa.
-
Umaarufu wa Donald Trump wazidi kuporomoka nchini Marekani
Nov 18, 2019 23:11Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonesha kuwa, idadi kubwa zaidi ya Wamarekani hawamtaki rais wa nchi hiyo Donald Trump na wanaamini kwamba ni mkosa katika kashfa ya "Ukraine Gate."
-
Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo
Nov 18, 2019 23:10Kwa mara nyingine Marekani imetoa vitisho vikali kwa Misri kutokana na uamuzi wake wa kununua ndege aina ya Sukhoi-35 kutoka Russia.
-
Trump na vitisho vya kuirubuni Japan ilipe gharama kubwa zaidi ili ipatiwe ulinzi na Marekani
Nov 17, 2019 09:57Kwa mara kadhaa Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akisisitizia suala la kuangaliwa upya uhusiano wa Washington na waitifaki wake katika pembe mbalimbali za dunia.