-
Uamuzi wa Trump kumbadilisha Waziri wa Mambo ya Nje
Dec 27, 2019 04:22Gazeti moja la Marekani limeeleza uwezekano wa kubadilishwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo na kuteuliwa mtu mwingine mahala pake.
-
Radiamali ya Marekani kwa maneva ya Iran, Russia na China
Dec 27, 2019 03:47Sean Robertson msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) amesema kuwa nchi hiyo ina taarifa kuhusu maneva kati ya Iran, Russia na China na inafuatilia maneva hiyo.
-
Russia yamkosoa Guterres kwa kufumbia macho ukiukaji sheria unaofanywa na Marekani
Dec 26, 2019 22:54Kwa kuzingatia kuwa Marekani ndiko yaliko makao makuu ya Umoja wa Mataifa, nchi hiyo ya kibeberu daima imekuwa ikiwawekea vikwazo wanadiplomasia na maafisa wa ngazi za juu wa nchi zinazopinga siasa za Washington, wanaoazimia kusafiri nchini humo kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao ya kikazi.
-
Kamanda wa jeshi la Majini Iran: Marekani haina uthubutu wa kuivamia kijeshi Iran
Dec 26, 2019 22:52Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran amesema kuwa Wamarakeni wana umaarufu wa kufanya uvamizi dhidi ya nchi mbalimbali lakini kutokana na uwezo na utayarifu wa jeshi la nchi hii, hawana uthubutu wa kuivamia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
2019; mwaka wa vifo vingi vya wanajeshi vamizi wa Marekani huko Afghanistan
Dec 25, 2019 21:41Mwaka 2019 umetajwa kuwa mwaka wa mauti zaidi kwa wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Afghanistan tangu kumalizika rasmi oparesheni za kivita nchini humo.
-
Jarida la Christianity Today la Marekani lamponda tena Trump
Dec 24, 2019 08:16Jarida la Kiinjilisti la Christianity Today la Marekani kwa mara nyingine tena limemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo, likisisitiza kuwa mwanasiasa huyo wa Republican anapaswa kuondolewa ofisini.
-
John Bolton akiri kufeli siasa za mashinikizo ya juu zaidi za Trump dhidi ya Korea Kaskazini
Dec 24, 2019 03:32Rais Donald Trump wa Marekani ambaye amekuwa akitumia mabavu dhidi ya nchi shindani na zinazopinga siasa za Washington, pia anatekeleza siasa za vitisho na mazungumzo ya siri dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani atishia kupigana vita na Korea Kaskazini
Dec 24, 2019 00:55Waziri wa Ulinzi wa Marekani ameitishia kuanzisha vita dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Uamuzi wa Mahakama ya ICC wa kufuatilia jinai za utawala wa Kizayuni
Dec 21, 2019 21:43Hatua zilizo dhidi ya ubinadamu na za ukiukaji sheria zinazochukuliwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimekuwa zikilaaniwa mara kwa mara na taasisi za kutetea haki za binadamu na pia za kimataifa. Kutokana na kushtadi kwa hatua hizo za utendaji jinai, taasisi ya kimataifa yenye jukumu la kushughulikia jinai za kivita hivi sasa imepanga kuchunguza suala hilo.
-
Jumapili, Disemba 22, 2019
Dec 21, 2019 21:42Leo ni Jumapili tarehe 25 Mfungo Saba Rabiuth-Thani 1441 Hijria, sawa na tarehe 22 Disemba 2019 Miladia.