Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yazidi kumimina wanajeshi wake kaskazini mwa Syria + Video

    Marekani yazidi kumimina wanajeshi wake kaskazini mwa Syria + Video

    Nov 17, 2019 07:53

    Msafara mwingine mmoja wa wanajeshi wa Marekani umeingia katika mji wa Qamishli mkoani al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Jumuiya ya Kiislamu yasisitizia umoja na kuwa macho Waislamu

    Jumuiya ya Kiislamu yasisitizia umoja na kuwa macho Waislamu

    Nov 17, 2019 04:05

    Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi mbalimbali duniani walioshiriki mkutano wa 12 wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu hapa Tehran wamesisitizia udharura wa kudumishwa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani.

  • 'Kuimarishwa uwezo wa kujihami Iran ni njia pekee ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani'

    'Kuimarishwa uwezo wa kujihami Iran ni njia pekee ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani'

    Nov 16, 2019 23:08

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njia pekee ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni kuimarisha uwezo wa nchi katika nyanja zote hasa katika uga wa nguvu za kijeshi

  • Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Nov 16, 2019 07:47

    Mitazamo ya upande mmoja ya Marekani na juhudi za nchi hiyo za kuimarisha ubeberu wake duniani, ambazo zimepata kasi kubwa katika utawala wa Rais Donald Trump, imechukua muelekeo mpya ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa huko nyuma.

  • CIA: Akiba ya fedha za kigeni ya Saudia imekaribia kumalizika

    CIA: Akiba ya fedha za kigeni ya Saudia imekaribia kumalizika

    Nov 16, 2019 04:28

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Marekani, CIA amesema kuwa, akiba ya fedha za kigeni ya Saudi Arabia inaelekea kumalizika.

  • Sisitizo la Marekani la kuvunja kikamilifu mkataba wake na Uturuki kuhusu ndege za kivita za F-35

    Sisitizo la Marekani la kuvunja kikamilifu mkataba wake na Uturuki kuhusu ndege za kivita za F-35

    Nov 16, 2019 02:40

    Uhusiano wa Marekani na Uturuki haujatengenea tangu mwaka 2016 baada ya kutokea jaribio la mapinduzi nchini Uturuki na hasa kitendo cha Marekani cha kukataka kumkabidhi kwa Uturuki, Fethullah Gülen, anayetuhumiwa na Ankara kuwa muhusika mkuu wa jaribio hilo la mapinduzi.

  • Mkutano wa BRICS na tahadhari ya Putin kuhusu vikwazo vya Marekani

    Mkutano wa BRICS na tahadhari ya Putin kuhusu vikwazo vya Marekani

    Nov 15, 2019 03:08

    Viongozi wa nchi wanachama katika jumuiya ya BRICS unayojumuisha nchi tano za Russia, Brazil, China, India na Afrika Kusini wamekutana katika mji mkuu wa Brazil, Brasilia. Mkutano huo umefanyika katika siku za tarehe 13 na 14 na ulilenga kupanua zaidi ushirikiano wa masuala ya kifedha na kiuchuni baina ya nchi wanachama na kuleta mabadiliko katika muundo wa sasa wa kimataifa.

  • Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Nov 14, 2019 03:55

    Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo jipya kwa viongozi wa Marekani kwamba, iwapo nchi hiyo kwa kushirikiana na Korea Kusini zitafanya maneva ya kijeshi, basi Pyongyang itajibu hatua hizo za uhasama.

  • UN yaitaka US iiondolee Iran vikwazo kama ilivyoagizwa na ICJ

    UN yaitaka US iiondolee Iran vikwazo kama ilivyoagizwa na ICJ

    Nov 13, 2019 23:13

    Umoja wa Mataifa umeitaka Marekani iheshimu agizo la Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu la kuiondolea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vinavyohusiana na bidhaa za kibinadamu.

  • Rais wa Iraq ajibu uingiliaji wa Marekani katika masuala ya nchi hiyo

    Rais wa Iraq ajibu uingiliaji wa Marekani katika masuala ya nchi hiyo

    Nov 12, 2019 09:07

    Rais wa Iraq ametoa radiamali yake kwa taarifa ya uingiliaji ya Marekani kwa kusema: Mageuzi yanayotarajiwa huko Iraq kamwe hayapasi kuathiriwa na maamuzi kutoka nje.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS