-
Jafarov: Aal Saudia ni watekelezaji wa njama za Wazayuni dhidi ya Waislamu duniani
Sep 10, 2016 09:31Mtaalamu wa masuala ya Mashariki ya Kati amesema kuwa, utawala wa Aal Saud nchini Saudia ni watekelezaji wa njama chafu za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Waislamu duniani.
-
"Silaha za Marekani zinachochea ugaidi Mashariki ya Kati"
Aug 18, 2016 09:51Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Kijani nchini Marekani amesema kuna haja ya kuwekewa vikwazo vya silaha nchi zinazochochea machafuko na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kuwa, Washington imechangia pakubwa hali ya mchafukoge na harakati za ugaidi katika nchi za eneo hilo.