-
UN yaonya kuhusu uhalifu zaidi wa kivita dhidi ya Waislamu nchini Myanmar
Sep 15, 2020 08:18Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya.
-
Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda' afikishwa mahakamani kwa makosa ya ugaidi, mauaji
Sep 14, 2020 06:57Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda' inayosimulia kisa cha mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda, Paul Rusesabagina, leo Jumatatu amefikishwa mahakamani mjini kigali akikabiliwa na mashtaka ya ugaidi, kufadhili ugaidi mauaji na kuteka nyara.
-
Uchunguzi wa mshukiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda, Aloys Ntiwiragabo umeanza nchini Ufaransa
Jul 26, 2020 03:01Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu tuhuma za jinai dhidi ya binadamu zinazomkabili afisa wa zamani wa ngazi ya juu wa jeshi la Rwanda Meja Jenerali Aloys Ntiwiragabo kufuatia mauaji ya kimbari yaliyojiri nchini humo mwaka 1994.
-
Ripoti ya UN: Mauaji ya kikabila Congo DR ni jinai dhidi ya binadamu na huenda ni mauaji ya kimbari
Jan 11, 2020 23:09Ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa mauaji, ubakaji na vitendo vingine vya kikatili vilivyofanywa na makundi hasimu ya kikaumu huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yumkini vikatambuliwa kuwa ni jinai dhidi ya binadamu au hata mauaji ya kimbari.
-
Uturuki kujibu mapigo kwa kutambua kuuliwa wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni 'mauaji ya kimbari'
Dec 17, 2019 09:11Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, nchi yake itachukua hatua ya kuyatambua mauaji ya mamilioni ya wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni "mauaji ya kimbari" ili kujibu mapigo kwa hatua ya karibuni iliyochukuliwa na serikali ya Washington ya kuyaelezea mauaji ya halaiki ya Waarmenia yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Uturuki wa Dola la Othmaniya kuwa ni mauaji ya kimbari.
-
Erdogan apinga hatua ya Swedish Royal Academy kumpa Handke tuzo ya fasihi ya Nobel
Dec 11, 2019 04:17Rais Recep Tayyep Erdegan wa Uturuki mepinga vikali hatua ya taasisi ya Royal Academy nchini Sweden ya kumtunuku mwandishi wa Austria, Peter Handke tuzo ya fasihi ya Nobel akisisitiza kuwa kufanya hivyo ni kuenzi na kupongeza ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Waholanzi waandamana kupinga mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Dec 11, 2019 03:22Wananchi wa Uholanzi wamefanya maandamano katika mji wa Hague wakipinga mauaji ya kimbari yanayofanywa na Mabudha wenye misimamo mikali wakishirikiana na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu
Feb 09, 2019 00:16Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar.
-
Taarifa: Ufaransa ilifahamu njama za mauaji ya kimbari Rwanda
Feb 07, 2019 19:08Shirika la Ujasusi la Ufaransa DGSE lilikuwa na taarifa za kiitelijensia kuhusu njama ya mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauaji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.
-
Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda
Oct 26, 2018 04:45Vyombo vya habari vimefichua picha za video zinazoonesha waziwazi nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari yaliyofanyika Rwanda mwaka 1994.