Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mauaji ya Kimbari

  • UN yaonya kuhusu uhalifu zaidi wa kivita dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    UN yaonya kuhusu uhalifu zaidi wa kivita dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Sep 15, 2020 08:18

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya.

  • Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda' afikishwa mahakamani kwa makosa ya ugaidi, mauaji

    Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda' afikishwa mahakamani kwa makosa ya ugaidi, mauaji

    Sep 14, 2020 06:57

    Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda' inayosimulia kisa cha mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda, Paul Rusesabagina, leo Jumatatu amefikishwa mahakamani mjini kigali akikabiliwa na mashtaka ya ugaidi, kufadhili ugaidi mauaji na kuteka nyara.

  • Uchunguzi wa mshukiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda, Aloys Ntiwiragabo umeanza nchini Ufaransa

    Uchunguzi wa mshukiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda, Aloys Ntiwiragabo umeanza nchini Ufaransa

    Jul 26, 2020 03:01

    Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu tuhuma za jinai dhidi ya binadamu zinazomkabili afisa wa zamani wa ngazi ya juu wa jeshi la Rwanda Meja Jenerali Aloys Ntiwiragabo kufuatia mauaji ya kimbari yaliyojiri nchini humo mwaka 1994.

  • Ripoti ya UN: Mauaji ya kikabila Congo DR ni jinai dhidi ya binadamu na huenda ni mauaji ya kimbari

    Ripoti ya UN: Mauaji ya kikabila Congo DR ni jinai dhidi ya binadamu na huenda ni mauaji ya kimbari

    Jan 11, 2020 23:09

    Ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa mauaji, ubakaji na vitendo vingine vya kikatili vilivyofanywa na makundi hasimu ya kikaumu huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yumkini vikatambuliwa kuwa ni jinai dhidi ya binadamu au hata mauaji ya kimbari.

  • Uturuki kujibu mapigo kwa kutambua kuuliwa wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni 'mauaji ya kimbari'

    Uturuki kujibu mapigo kwa kutambua kuuliwa wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni 'mauaji ya kimbari'

    Dec 17, 2019 09:11

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, nchi yake itachukua hatua ya kuyatambua mauaji ya mamilioni ya wakazi wa asili wa Marekani kuwa ni "mauaji ya kimbari" ili kujibu mapigo kwa hatua ya karibuni iliyochukuliwa na serikali ya Washington ya kuyaelezea mauaji ya halaiki ya Waarmenia yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Uturuki wa Dola la Othmaniya kuwa ni mauaji ya kimbari.

  • Erdogan apinga hatua ya Swedish Royal Academy kumpa Handke tuzo ya fasihi ya Nobel

    Erdogan apinga hatua ya Swedish Royal Academy kumpa Handke tuzo ya fasihi ya Nobel

    Dec 11, 2019 04:17

    Rais Recep Tayyep Erdegan wa Uturuki mepinga vikali hatua ya taasisi ya Royal Academy nchini Sweden ya kumtunuku mwandishi wa Austria, Peter Handke tuzo ya fasihi ya Nobel akisisitiza kuwa kufanya hivyo ni kuenzi na kupongeza ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Waholanzi waandamana kupinga mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Waholanzi waandamana kupinga mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Dec 11, 2019 03:22

    Wananchi wa Uholanzi wamefanya maandamano katika mji wa Hague wakipinga mauaji ya kimbari yanayofanywa na Mabudha wenye misimamo mikali wakishirikiana na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Feb 09, 2019 00:16

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar.

  • Taarifa: Ufaransa ilifahamu njama za mauaji ya kimbari Rwanda

    Taarifa: Ufaransa ilifahamu njama za mauaji ya kimbari Rwanda

    Feb 07, 2019 19:08

    Shirika la Ujasusi la Ufaransa DGSE lilikuwa na taarifa za kiitelijensia kuhusu njama ya mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauaji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.

  • Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Vyombo vya habari vyafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Oct 26, 2018 04:45

    Vyombo vya habari vimefichua picha za video zinazoonesha waziwazi nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari yaliyofanyika Rwanda mwaka 1994.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS