-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu uwezekano wa kukaririwa maangamizi ya kizazi Myanmar
Mar 14, 2018 10:51Mshauri Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika kuzuia maangamizi ya kizazi ametahadharisha kuwa serikali ya Myanmar inataka kutekeleza mauaji mengine ya kizazi dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika mkoa wa Rakhine magharibi mwa nchi hiyo.
-
Mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel ashangaa kutoshtakiwa Bin Salman na Al Nahyan
Feb 03, 2018 04:50Bi Tawakkol Karman, mshindi wa zawadi ya amani ya Nobel wa nchini Yemen amesisitizia umuhimu wa kushtakiwa kimataifa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme nchini Saudia na Mohammed bin Zayed Al Nahyan, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Abu Dhabi kutokana na jinai zao za mauaji ya umati nchini Yemen.
-
Jumanne 21 Novemba, 2017
Nov 20, 2017 23:18Leo ni Jumanne tarehe Pili Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria sawa na tarehe 21 Novemba mwaka 2017.
-
UN yatahadharisha kuhusu hatari ya kutokea mauaji ya kimbari CAR
Oct 13, 2017 00:17Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na hatari ya kutokea mauaji ya kimbari katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Oct 02, 2017 10:48Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala haramu wa Israel una nafasi katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Warohingya wa Myanmar yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.
-
Mahakama ya kimataifa Malaysi yatoa hukumu dhidi ya viongozi wauaji wa Myanmar
Sep 23, 2017 12:13Mahakama ya Kimataifa ya Kudumu ya Watu wa Malaysia imetoa hukumu dhidi ya serikali ya Myanmar kutokana na kutenda jinai za mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Ayatullah Larijani: Mauaji ya Waislamu wa Myanmar ni mfano wa wazi wa maangamizi ya kizazi
Sep 18, 2017 23:52Mkuu wa Idara ya Mahakama Nchini Iran amesema kuwa mashambulizi na utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa Myanmar ni mfano wa wazi wa maangamizi ya kizazi na jinai dhidi ya binadamu.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari CAR
Aug 23, 2017 22:05Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya kibinadamu ametahadharisha kuhusiana na kuweko ishara za kutokea mauaji ya kimbari katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo inakabiliwa na machafuko.
-
Nyaraka mpya zafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda
Jul 01, 2017 08:35Nyaraka mpya za kihistoria zilizochapishwa hivi karibuni kwa mara nyingine tena zimethibitisha nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda baada ya kupita miaka 23 tangu kutekelezwa mauaji hayo.
-
Uingereza: Machafuko ya Sudan Kusini ni sawa na mauaji ya kimbari
Apr 14, 2017 03:48Waziri wa Serikali ya Uingereza amesema kuwa mauaji yaliyoyalenga makundi maalumu ya kikabila huko Sudan Kusini na kusababisha vita vya ndani nchini humo mwaka 2013, ni sawa na mauaji ya kimbari.