Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mauaji ya Kimbari

  • Jumapili, Aprili 9, 2017

    Jumapili, Aprili 9, 2017

    Apr 08, 2017 22:07

    Leo ni Jumapili tarehe 11 Rajab 1438 Hijria sawa na tarehe 9 Aprili 2017 Miladia.

  • Kuendelea kuhukumiwa wafanya mauaji ya kimbari nchini Rwanda

    Kuendelea kuhukumiwa wafanya mauaji ya kimbari nchini Rwanda

    Dec 05, 2016 00:26

    Licha ya kupita miaka zaidi ya 20 tangu yalipotokea mauaji ya kimbari nchini Rwanda, watendaji ya jinai hizo wanaendelea kuhukumiwa hadi leo hii.

  • Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa

    Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa

    Dec 04, 2016 03:58

    Mahakama moja nchini Ufaransa imepasisha kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya mkuu wa zamani wa usalama wa taifa wa Rwanda baada ya kumpata na hatia ya kufanya mauaji ya kimbari mwaka 1994 nchini humo.

  • Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 13:01

    Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.

  • UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini

    UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 00:54

    Mjumbe wa Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini amesema baada ya kuitembelea nchi hiyo kuwa, kumetokea mauaji ya kimbari katika maeneo kadhaa ya Sudan Kusini.

  • Mahakama ya Kijeshi Rwanda yaanza kusikiliza kesi ya Seyoboka

    Mahakama ya Kijeshi Rwanda yaanza kusikiliza kesi ya Seyoboka

    Dec 01, 2016 11:30

    Mahakama ya Kijeshi ya Rwanda leo imeanza kusikiliza kesi ya afisa wa zamani wa jeshi la nchi hiyo aliyerejeshwa nyumbani kutoka Canada mwezi uliopita kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994.

  • Rwanda kuchunguza kuhusika Wafaransa katika mauaji ya kimbari

    Rwanda kuchunguza kuhusika Wafaransa katika mauaji ya kimbari

    Nov 30, 2016 04:08

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Rwanda imeanzisha uchunguzi wa jinai kuhusu kuhusika raia 20 wa Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi

  • UN yatahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari Burundi

    UN yatahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari Burundi

    Sep 21, 2016 10:38

    Kundi la wachunguzi wa Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari yanayonukia huko Burundi na kueleza kuwa, mwenendo jumla wa kauli zenye kuleta mgawanyiko wa kikabila zinazotolewa na serikali ya nchi hiyo zinamaanisha kuwa mzozo unaweza kuenea hadi katika nchi nyingine za Kiafrika.

  • Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina

    Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina

    Jul 25, 2016 23:54

    Jeshi la Israel limetajwa kuwa linaiba viungo vya Wapalestina na kufanya mauaji ya kizazi.

  • Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994

    Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994

    May 10, 2016 10:33

    Mameya wawili wa zamani wa Rwanda Jumanne hii wamefikishwa kizimbani Ufaransa wakikabiliwa na mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya binadamu na mauaji ya kimbari mwaka 1994 katika nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS