-
Jumapili, Aprili 9, 2017
Apr 08, 2017 22:07Leo ni Jumapili tarehe 11 Rajab 1438 Hijria sawa na tarehe 9 Aprili 2017 Miladia.
-
Kuendelea kuhukumiwa wafanya mauaji ya kimbari nchini Rwanda
Dec 05, 2016 00:26Licha ya kupita miaka zaidi ya 20 tangu yalipotokea mauaji ya kimbari nchini Rwanda, watendaji ya jinai hizo wanaendelea kuhukumiwa hadi leo hii.
-
Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa
Dec 04, 2016 03:58Mahakama moja nchini Ufaransa imepasisha kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya mkuu wa zamani wa usalama wa taifa wa Rwanda baada ya kumpata na hatia ya kufanya mauaji ya kimbari mwaka 1994 nchini humo.
-
Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 02, 2016 13:01Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.
-
UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 02, 2016 00:54Mjumbe wa Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini amesema baada ya kuitembelea nchi hiyo kuwa, kumetokea mauaji ya kimbari katika maeneo kadhaa ya Sudan Kusini.
-
Mahakama ya Kijeshi Rwanda yaanza kusikiliza kesi ya Seyoboka
Dec 01, 2016 11:30Mahakama ya Kijeshi ya Rwanda leo imeanza kusikiliza kesi ya afisa wa zamani wa jeshi la nchi hiyo aliyerejeshwa nyumbani kutoka Canada mwezi uliopita kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994.
-
Rwanda kuchunguza kuhusika Wafaransa katika mauaji ya kimbari
Nov 30, 2016 04:08Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Rwanda imeanzisha uchunguzi wa jinai kuhusu kuhusika raia 20 wa Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi
-
UN yatahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari Burundi
Sep 21, 2016 10:38Kundi la wachunguzi wa Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari yanayonukia huko Burundi na kueleza kuwa, mwenendo jumla wa kauli zenye kuleta mgawanyiko wa kikabila zinazotolewa na serikali ya nchi hiyo zinamaanisha kuwa mzozo unaweza kuenea hadi katika nchi nyingine za Kiafrika.
-
Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina
Jul 25, 2016 23:54Jeshi la Israel limetajwa kuwa linaiba viungo vya Wapalestina na kufanya mauaji ya kizazi.
-
Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994
May 10, 2016 10:33Mameya wawili wa zamani wa Rwanda Jumanne hii wamefikishwa kizimbani Ufaransa wakikabiliwa na mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya binadamu na mauaji ya kimbari mwaka 1994 katika nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika.