-
Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994
May 10, 2016 10:33Mameya wawili wa zamani wa Rwanda Jumanne hii wamefikishwa kizimbani Ufaransa wakikabiliwa na mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya binadamu na mauaji ya kimbari mwaka 1994 katika nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika.
-
Kesi 40 zaripotiwa za waenezaji itikadi za mauaji ya kimbari Rwanda
Apr 15, 2016 03:42Polisi wa Rwanda wameripoti kuwepo kesi 40 za hivi karibuni za wanaohusika na kueneza itikadi ya mauaji ya halaiki wakati wa wiki ya kuadhimisha mauaji ya halaiki iliyomalizika Jumatano iliyopita.