-
Kesi 40 zaripotiwa za waenezaji itikadi za mauaji ya kimbari Rwanda
Apr 15, 2016 03:42Polisi wa Rwanda wameripoti kuwepo kesi 40 za hivi karibuni za wanaohusika na kueneza itikadi ya mauaji ya halaiki wakati wa wiki ya kuadhimisha mauaji ya halaiki iliyomalizika Jumatano iliyopita.