-
Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu
Jan 27, 2022 02:37Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 2.5 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Misri yamvua uraia mtetezi wa haki za binadamu
Jan 08, 2022 12:35Mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Misri, Ramy Shaath ameachiwa huru baada ya kuwekwa korokoroni kwa zaidi ya miaka 2 na nusu.
-
Jumamosi, 18 Desemba, 2021
Dec 18, 2021 03:02Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1443 Hijria mwafaka na tarehe 18 Desemba 2021 Miladia.
-
Maneva ya pamoja ya kijeshi kati ya Russia na Misri
Dec 02, 2021 12:07Kikosi cha wanajeshi wa meli za kivita za Russia katika bahari Nyeusi kimetangaza kuwa meli za nchi hiyo hivi karibuni zitawasili katika bandari ya Alexandria huko Misri kwa ajili ya kushiriki katika maneva ya pamoja na nchi hiyo.
-
Mwanadiplomasia wa zamani: Israel na Misri ziliunga mapinduzi ya kijeshi Sudan
Nov 24, 2021 07:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa Sudan amesema kuwa, Misri na utawala wa Kizayuni wa Israel ziliunga mkono mapinduzi ya kijeshi nchini mwake.
-
Ripoti: Misri ilitumia taarifa za kijasusi za Ufaransa kuua raia
Nov 22, 2021 12:03Ripoti mpya imefichua kuwa, vikosi vya usalama vya Misri vimetumia taarifa za kiintelijensia za jeshi la Ufaransa kuwahujumu na hata kuwaua raia wa nchi hiyo ya Kiarabu wanaotuhumiwa kufanya magendo.
-
Tume ya Haki Afrika yaitaka Misri isitishe hukumu ya kifo
Nov 10, 2021 14:25Kamisheni ya Haki za Binadamu na Watu ya Afrika imeitaka serikali ya Misri itengue huku ya kifo dhidi ya watu wanaotuhumiwa kushiriki maandamano jijini Cairo mwaka 2013.
-
Jenerali al Burhan alitembelea Misri kwanza kabla ya kufanya mapinduzi Sudan
Nov 04, 2021 12:02Gazeti moja la nchini Marekani limefichua kuwa, kamanda wa jeshi la Sudan alitembelea Misri siku moja tu kabla ya kuongoza mapinduzi ya kijeshi nchini Sudan.
-
Rais wa Misri afuta sheria ya hali ya hatari
Oct 26, 2021 07:55Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ametangaza kuwa serikali yake imetengua sheria ya hali ya hatari kitaifa nchini humo.
-
Kuhuishwa uhusiano wa Doha na Cairo katika Muktadha wa Busara ya Qatar katika sera ya kigeni
Oct 22, 2021 03:56Kufuatia kuanza kazi kwa balozi wa Qatar mjini Cairo, balozi wa Misri pia aliwasili Doha siku ya Jumatano Oktoba 20 kwa ajili ya kuwakilisha nchi yake katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.