Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Jan 27, 2022 02:37

    Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 2.5 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Misri yamvua uraia mtetezi wa haki za binadamu

    Misri yamvua uraia mtetezi wa haki za binadamu

    Jan 08, 2022 12:35

    Mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Misri, Ramy Shaath ameachiwa huru baada ya kuwekwa korokoroni kwa zaidi ya miaka 2 na nusu.

  • Jumamosi, 18 Desemba, 2021

    Jumamosi, 18 Desemba, 2021

    Dec 18, 2021 03:02

    Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1443 Hijria mwafaka na tarehe 18 Desemba 2021 Miladia.

  • Maneva ya pamoja ya kijeshi kati ya Russia na Misri

    Maneva ya pamoja ya kijeshi kati ya Russia na Misri

    Dec 02, 2021 12:07

    Kikosi cha wanajeshi wa meli za kivita za Russia katika bahari Nyeusi kimetangaza kuwa meli za nchi hiyo hivi karibuni zitawasili katika bandari ya Alexandria huko Misri kwa ajili ya kushiriki katika maneva ya pamoja na nchi hiyo.

  • Mwanadiplomasia wa zamani: Israel na Misri ziliunga mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Mwanadiplomasia wa zamani: Israel na Misri ziliunga mapinduzi ya kijeshi Sudan

    Nov 24, 2021 07:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa Sudan amesema kuwa, Misri na utawala wa Kizayuni wa Israel ziliunga mkono mapinduzi ya kijeshi nchini mwake.

  • Ripoti: Misri ilitumia taarifa za kijasusi za Ufaransa kuua raia

    Ripoti: Misri ilitumia taarifa za kijasusi za Ufaransa kuua raia

    Nov 22, 2021 12:03

    Ripoti mpya imefichua kuwa, vikosi vya usalama vya Misri vimetumia taarifa za kiintelijensia za jeshi la Ufaransa kuwahujumu na hata kuwaua raia wa nchi hiyo ya Kiarabu wanaotuhumiwa kufanya magendo.

  • Tume ya Haki Afrika yaitaka Misri isitishe hukumu ya kifo

    Tume ya Haki Afrika yaitaka Misri isitishe hukumu ya kifo

    Nov 10, 2021 14:25

    Kamisheni ya Haki za Binadamu na Watu ya Afrika imeitaka serikali ya Misri itengue huku ya kifo dhidi ya watu wanaotuhumiwa kushiriki maandamano jijini Cairo mwaka 2013.

  • Jenerali al Burhan alitembelea Misri kwanza kabla ya kufanya mapinduzi Sudan

    Jenerali al Burhan alitembelea Misri kwanza kabla ya kufanya mapinduzi Sudan

    Nov 04, 2021 12:02

    Gazeti moja la nchini Marekani limefichua kuwa, kamanda wa jeshi la Sudan alitembelea Misri siku moja tu kabla ya kuongoza mapinduzi ya kijeshi nchini Sudan.

  • Rais wa Misri afuta sheria ya hali ya hatari

    Rais wa Misri afuta sheria ya hali ya hatari

    Oct 26, 2021 07:55

    Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ametangaza kuwa serikali yake imetengua sheria ya hali ya hatari kitaifa nchini humo.

  • Kuhuishwa uhusiano wa Doha na Cairo katika Muktadha wa Busara ya Qatar katika sera ya kigeni

    Kuhuishwa uhusiano wa Doha na Cairo katika Muktadha wa Busara ya Qatar katika sera ya kigeni

    Oct 22, 2021 03:56

    Kufuatia kuanza kazi kwa balozi wa Qatar mjini Cairo, balozi wa Misri pia aliwasili Doha siku ya Jumatano Oktoba 20 kwa ajili ya kuwakilisha nchi yake katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS