-
Ugiriki, Misri na Cyprus zaionya Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi
Oct 20, 2021 07:20Wakuu wa nchi za Cyprus, Misri na Ugiriki jana Jumanne walikutana mjini Athens na kutoa onyo kali kwa Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi katika eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterranean.
-
Mahakama ya kijeshi Misri yapasisha hukumu ya kifungo cha maisha dhidi ya watuhumiwa 32 wa jaribio la mauaji ya al Sisi
Oct 14, 2021 07:33Mahakama ya kijeshi ya Misri imepasisha hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya watuhumiwa 32 waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma za kuunda makundi ya kigaidi yaliyopanga njama ya kutaka kumuua Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo na mrithi wa zamani wa ufalme wa Saudi Arabia Muhammad bin Nayef.
-
Misri yaitaka Israel ijiunge na mkataba wa kupiga marufuku silaha za nyuklia wa NPT
Sep 25, 2021 02:34Misri imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ujiunge na Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Atomiki NPT na uheshimu sheria za kimataifa.
-
Kuhuishwa uhusiano wa Qatar na Misri baada ya Saudi Arabia
Aug 26, 2021 13:45Salim Mubarak Al Shafi balozi wa Qatar mjini Cairo Jumatatu wiki hii alikutana na kufanya mazungumzo na Sameh Hassan Shoukry Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri na akamkabidhi hati yake ya utambulisho.
-
Amnesty yaitaka serikali ya Misri kuwafikisha mahakamani maafisa waliofanya mauaji ya Rabi'a
Aug 14, 2021 13:24Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa serikali ya Misri ilifumbia macho suala la kuwafikisha mahakamani maafisa na askari usalama waliohusika na mauaji ya raia wasiopungua 900 wakati wa kuvunja mgomo wa wananchi kwa kutumia mabavu katika medani za Rabi'a al-Adawiyya al Nahdha mwaka 2013.
-
Matukio ya Tunisia, ajenda kuu ya mazungumzo ya waziri wa mambo ya nje wa Algeria Misri
Aug 02, 2021 10:22Ramtane Lamamra, Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ambaye yuko Misri amekutana na kuzungumza na rais wa nchi hyo kuhusu uhusiano wa nchi mbili na matukio ya Tunisia.
-
Wanajeshi watano wa Misri wauawa katika eneo la Sinai
Aug 01, 2021 07:49Wanajeshi watano wa Misri wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha katika eneo la Sinai la kaskazini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Mahakama ya Misri yatoa hukumu ya kifo kwa wanachama wengine 24 wa Ikhwanul Muslimin
Jul 30, 2021 07:17Mahakama ya Misri imetoa hukumu ya kifo kwa wapinzani 24 wa mapinduzi ya kijeshi yaliyofanywa dhidi ya rais halali wa zamani wa nchi hiyo marehemu Muhammad Morsi.
-
Al Azhar ya Misri yalaani mlipuko wa kigaidi katika kitongoji cha Sadr huko Iraq
Jul 20, 2021 11:15Chuo Kikuu cha al Azhar nchini Misri kimelaani mlipuko wa kigaidi uliotokea jana katika kitongoiji cha Sadr huko Iraq sambamba na kuwadia Sikukuu ya Idul Adhaa na Siku ya Arafa.
-
Zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha lamalizika
Jul 20, 2021 02:21Licha ya kuweko maonyo na vitisho vikali vya Sudan na Misri, lakini duru moja ya masuala ya umwagiliaji maji nchini Ethiopia imesema kuwa, zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha limekamilika.