Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa China: Kuasisiwa nchi huru ya Palestina ni haki ya kisheria ya Wapalestina

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China: Kuasisiwa nchi huru ya Palestina ni haki ya kisheria ya Wapalestina

    Jul 19, 2021 13:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema kuwa, kuundwa nchi huru ya Palestina ni haki ya kisheria ya Wapalestina na jambo hilo halipasi kuakhirishwa.

  • Mahakama ya Rufaa Misri yaafiki kifungo cha maisha jela kwa viongozi 11 wa Ikhwani

    Mahakama ya Rufaa Misri yaafiki kifungo cha maisha jela kwa viongozi 11 wa Ikhwani

    Jul 12, 2021 02:26

    Mahakama ya Rufaa ya Misri imeidhinisha kifungo cha maisha jela kwa viongozi 11 wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin.

  • Ombi la Misri na Sudan kwa Baraza la Usalama; mgogoro wa Bwawa la An Nahda

    Ombi la Misri na Sudan kwa Baraza la Usalama; mgogoro wa Bwawa la An Nahda

    Jun 28, 2021 10:26

    Huku awamu ya pili ya kujazwa maji katika Bwawa la An Nahda (Grand Renaissance Dam-GERD-) la Ethiopia katika Mto Nile ikikaribia, Misri na Sudan, nchi mbili ambazo zinapinga ujenzi wa bwawa hilo, zimetaka ujazwaji maji huo usitishwe kwa muda. Nchi hizo mbili zimetaka Ethiopia izipatie dhamana kuwa haki zao zitalindwa, jambo ambalo limeibua taharuki mpya baina ya nchi hizo tatu.

  • Ayman Nour: Kunyongwa viongozi wa Ikhwani kutazusha machafuko nchini Misri

    Ayman Nour: Kunyongwa viongozi wa Ikhwani kutazusha machafuko nchini Misri

    Jun 27, 2021 02:27

    Kiongozi wa chama cha El Ghad nchini Misri ameitaka Kamati ya Kimataifa ya Kuzuia Adhabu ya Kifo katika nchi za Kiarabu kuwasiliana na jumuiya za kimataifa kwa ajili ya kusitisha utekelezaji wa hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi ya viongozi kadhaa wa chama cha Ikhwanul Muslimin.

  • Watu 30 wapoteza maisha na kujeruhiwa katika ajali ya treni na basi kusini mwa Cairo

    Watu 30 wapoteza maisha na kujeruhiwa katika ajali ya treni na basi kusini mwa Cairo

    Jun 22, 2021 03:09

    Watu wanne wameaga dunia na 26 wamejeruhiwa katika ajali ya jana usiku iliyozihusisha treni ya mizigo na basi lililokuwa limebeba wafanyakazi huko kusini mwa Cairo, mji mkuu wa Misri.

  • Jukwaa la Waarabu lazitaka jumuiya za kimataifa zisitishe kunyongwa Wamisri 12, wamo viongozi wa Ikhwani

    Jukwaa la Waarabu lazitaka jumuiya za kimataifa zisitishe kunyongwa Wamisri 12, wamo viongozi wa Ikhwani

    Jun 17, 2021 07:11

    Jukwaa la Warabu limeziomba jumuiya na mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kuingilia kati na kusitisha utekelezaji wa hukumu ya kifo ya Wamisri 12 wakiwemo viongozi waandamizii wa harakati ya upinzani ya Ikhwanul Muslimin.

  • Abiy Ahmed: Bwawa la Renaissance litazifaidisha pia Sudan na Misri

    Abiy Ahmed: Bwawa la Renaissance litazifaidisha pia Sudan na Misri

    Jun 07, 2021 12:52

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa ujenzi wa Bwawa la Renaissance utakuwa na faida si kwa nchi hiyo pekee bali pia kwa nchi za Misri na Ethiopia.

  • Misri yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Ukanda wa Ghaza

    Misri yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Ukanda wa Ghaza

    May 31, 2021 07:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, usiku wa kuamkia leo ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu hatari za kuvunja makubaliano ya kusimamisha vita ya Ghaza.

  • Maafisa usalama wa Misri wawasili katika Ukanda wa Ghaza, Palestina

    Maafisa usalama wa Misri wawasili katika Ukanda wa Ghaza, Palestina

    May 29, 2021 09:40

    Duru za habari zimetangaza kuwa ujumbe maalumu wa maafisa usalama wa Misri umewasili katika Ukanda wa Ghaza huko Palestina kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wakuu wa makundi ya muqawama.

  • Misri yawanyonga watuhumiwa wa uvamizi dhidi ya kituo cha polisi, Amnesty yalaani

    Misri yawanyonga watuhumiwa wa uvamizi dhidi ya kituo cha polisi, Amnesty yalaani

    Apr 27, 2021 06:45

    Idara ya Magereza ya Misri inayoongozwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi hiyo imetangaza kuwa, imetekeleza hukumu ya kifo dhidi ya watu 9 waliohukumiwa kwa hatia ya kile kinachotajwa kuwa ni uvamizi dhidi ya kituo cha polisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS