Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Morocco yazuia maandamano ya kulalamikia jinai za Israel kwa Wapalestina

    Morocco yazuia maandamano ya kulalamikia jinai za Israel kwa Wapalestina

    May 21, 2021 03:36

    Serikali ya Morocco ambayo hivi sasa imo kwenye mkumbo wa kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia ya utawala wa Kizayuni wa Israel, imezuia kufanyika maandamano ya mamilioni ya wananchi wa nchi hiyo waliokusudia kupaza sauti zao, kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Khatibzadeh: Bwabwaja za Morocco dhidi ya Iran zimetolewa kwa maslahi ya Wazayuni

    Khatibzadeh: Bwabwaja za Morocco dhidi ya Iran zimetolewa kwa maslahi ya Wazayuni

    May 08, 2021 12:25

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, madai yasiyo na msingi yaliyotolewa hivi karibuni na serikali ya Morocco dhidi ya Iran yametolewa kwa maslahi, mipango na njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Morocco yakandamiza maandamano ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    Morocco yakandamiza maandamano ya kuliunga mkono taifa la Palestina

    Apr 01, 2021 02:15

    Serikali ya Morocco imekandamiza maandamano ya wananchi wa nchi hiyo kuliunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina, ikiwa ni hatua ya kwanza kabisa ya kuzuia kulaaniwa utawala wa Kizayuni nchini humo tangu Rabbat ilipotangaza uhusiano wa kawaida na Israel.

  • Jumanne, Machi Pili, 2021

    Jumanne, Machi Pili, 2021

    Mar 02, 2021 02:41

    Leo ni Jumanne tarehe 18 Rajab 1442 Hijria sawa na tarehe Pili Machi mwaka 2021.

  • Morocco yashadidisha ukandamizaji baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Morocco yashadidisha ukandamizaji baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Feb 20, 2021 12:45

    Serikali ya Morocco imeshadidisha mbinyo, ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya wanaharakati na wananchi wa kawaida nchini humo, baada ya Rabat kukubaliana na utawala wa Kizayuni wa Israel kuanzisha uhusiano wa pande mbili.

  • Harakati ya Polisario yashambulia kwa makombora kivuko cha Guerguerat kwenye mpaka wa Morocco

    Harakati ya Polisario yashambulia kwa makombora kivuko cha Guerguerat kwenye mpaka wa Morocco

    Jan 24, 2021 13:46

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa Harakati ya Ukombozi wa Sahara Magharibi Polisario kimeshambulia kwa maroketi kivuko cha Guerguerat kwenye mpaka wa Morocco na kwamba jeshi la nchi hiyo limejibu shambulio hilo.

  • Human Rights Watch yakosoa hali ya haki za binadamu nchini Morocco

    Human Rights Watch yakosoa hali ya haki za binadamu nchini Morocco

    Jan 20, 2021 02:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa hali ya haki za binadamu nchini Morocco na kutangaza kuwa, maafisa wa nchi hiyo wamezidisha mminyo na ukandamizaji wa uhuru wa raia.

  • Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Jan 17, 2021 07:52

    Rais Donald Trump wa Marekani amemtunuku tuzo ya kifahari Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco, kutokana na hatua yake ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Morocco yasimamisha uhusiano wake na Wazayuni

    Morocco yasimamisha uhusiano wake na Wazayuni

    Jan 02, 2021 07:26

    Duru kadhaa za kidiplomasia zimetangaza kuwa serikali ya Morocco imesimamisha kutangaza kiukamilifu uhusiano wake na utawala wa Kizayuni hadi itakapojua msimamo wa rais ajaye wa Marekani kuhusu Sahara Magharibi.

  • Wamorocco wafungua shauri mahakamani la kufutwa mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Wamorocco wafungua shauri mahakamani la kufutwa mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 30, 2020 08:11

    Mratibu wa Kongresi ya Kitaifa ya Kiislamu ya Morocco amesema wamefungua shauri mahakamani la kuangaliwa upya uamuzi uliochukuliwa na serikali ya Rabat wa kufikia mapatano na Israel ya kuanzisha uhusiano wa kawaida wa kisiasa, kidiplomasia, kiuchumi na katika sekta ya utalii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS