Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Marekani kufungua ubalozi mdogo Sahara Magharibi, Morocco

    Marekani kufungua ubalozi mdogo Sahara Magharibi, Morocco

    Dec 25, 2020 13:11

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa ukiukaji wa sheria za kimataifa na maazimio ya Umoja wa Mataifa, Marekani imetangaza kuwa imeanzisha mchakato wa kufungua ubalozi mdogo katika eneo la Sahara Magharibi, huko kusini mwa Morocco.

  • Mfalme wa Morocco aunga mkono kuanzishwa mazungumzo ya mapatano na utawala wa Kizayuni

    Mfalme wa Morocco aunga mkono kuanzishwa mazungumzo ya mapatano na utawala wa Kizayuni

    Dec 24, 2020 12:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amefichua kuwa, mazungumzo ya kuanzisha uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni yameanza kwa uungaji mkono wa Mfalme wa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa wasisitiza msimamo wake kuhusu eneo la Sahara Magharibi

    Umoja wa Mataifa wasisitiza msimamo wake kuhusu eneo la Sahara Magharibi

    Dec 14, 2020 02:57

    Katika hali ambayo katika miezi ya hivi karibuni kumeshuhudiwa ongezeko la taharuki baina ya serikali ya Morocco na Harakati ya Polisaria kuhusiana na eneo la Sahara Magharibi, Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza Alhamisi kuwa Morocco imeafiki kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuongeza kuwa Washington inatambua rasmi eneo la Sahara Magharibi kama milki ya Morocco.

  • Vyama vya Kiislamu Morocco vyapinga uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Vyama vya Kiislamu Morocco vyapinga uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Dec 13, 2020 10:52

    Vyama vya Kiislamu nchini Morocco vimepinga vikali uamuzi wa ufalme wa nchi hiyo wa kuafikia kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel kufuatia mapatano yaliyosimamiwa na Marekani.

  • UN yailaumu Marekani kwa msimamo wake kuhusu Sahara Magharibi

    UN yailaumu Marekani kwa msimamo wake kuhusu Sahara Magharibi

    Dec 13, 2020 07:36

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilaumu Marekani kwa kutangaza kulitambua rasmi eneo la Sahara Magharibi kuwa ni milki ya Morocco.

  • Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Dec 12, 2020 11:36

    Rais Donald Trump wa Marekani juzi Alhamisi alituma ujumbe katika ukurasa wake wa twitter na kueleza kuwa Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel zimefikia mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia.

  • Amir-Abdollahian: Kama watawala wa Kiarabu wameghafilika na Uislamu basi wafikirie japo maana ya ‘ghera ya Kiarabu’

    Amir-Abdollahian: Kama watawala wa Kiarabu wameghafilika na Uislamu basi wafikirie japo maana ya ‘ghera ya Kiarabu’

    Dec 12, 2020 11:23

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, hatua ya Morocco ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni usaliti na pigo la jambia dhidi ya mwili wa muqawama wa Palestina.

  • Hizbullah ya Lebanon yalaani kuanzishwa uhusiano wa Israel na Morocco

    Hizbullah ya Lebanon yalaani kuanzishwa uhusiano wa Israel na Morocco

    Dec 12, 2020 07:52

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali 'mapatano' ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Morocco na utawala haramu wa Israel.

  • Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Dec 12, 2020 07:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inazishawishi nchi zingine kutoa muhanga kadhia ya Palestina na kuwapa mkono wezi kwa njia mbali mbali.

  • "Mauaji ya Fakhrizadeh yamelifanya faili la vitendo vya kigaidi vya Israel kuwa zito zaidi"

    Dec 02, 2020 07:10

    Chama cha Demokrasia kwa ajili ya Mshikamano wa Mataifa cha nchini Morocco kimetoa tamko rasmi na kusema kuwa, mauaji ya kigaidi ya Dk Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi wa nyuklia na masuala ya kiulinzi wa Iran ni kitendo cha jinai ambacho kimelifanya faili la vitendo vya kigaidi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa zito zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS