-
Wamorocco wachoma moto bendera ya Israel katika kuonyesha mshikamano wao na Palestina
Dec 01, 2020 07:35Wananchi wa Morocco wamechoma bendera ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikana na Taifa la Palestina.
-
Harakati ya Polisario yashambulia ngome za jeshi la Morocco
Nov 28, 2020 04:40Harakati ya Polisario imezishambulia ngome za Morocco katika eneo la Karkarat kusini mwa Sahaha Magharibi.
-
Libya kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuyaunganisha mabunge ya mashariki na magharibi mwa nchi
Nov 23, 2020 13:07Wabunge wa Libya wanajiandaa kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuyaunganisha mabunge mawili ya nchi hiyo yenye makao yao mashariki na magharibi mwa nchi.
-
Mazungumzo ya Tunis na makubaliano ya kuitisha uchaguzi nchini Libya
Nov 13, 2020 01:34Mazungumzo baina ya pande mbalimbali za Libya yanaendelea Tunis, mji mkuu wa Tunisia kwa kusimamiwa na Umoja wa Mataifa. Lengo la mazungumzo hayo ni kuleta amani ya kudumu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Taarifa za karibuni kabisa zinasema kuwa, washiriki wa mazungumzo hayo wamefikia makubaliano ya kuitisha uchaguzi nchini Libya katika kipindi kisichopindukia miezi 18 ijayo.
-
Mivutano yaongezeka kati ya Morocco na harakati ya Polisario
Nov 09, 2020 04:34Mfalme wa Morocco ametuma ujumbe mkali kwa harakati ya Polisario na kueleza kuwa Rabat itakabiliana kwa nguvu na umakini na jitihada zozote zenye lengo la kuvuruga amani ya maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.
-
Wananchi wa Morocco wapinga hatua yoyote ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni
Oct 25, 2020 07:52Shakhsia wa kisiasa na kidini wa Morocco wamelaani hatua yoyote ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel. Wametoa tamko hilo katika mkutano wao kwa njia ya video.
-
Duru ya pili ya mazungumzo baina ya pande hasimu Libya yaanza nchini Morocco
Oct 03, 2020 07:49Duru ya pili ya mazungumzo baina ya pande hasimu nchini Libya imeanza katika katika mji wa Bouznika huko nchini Morocco ikiwa ni katika juhudi za kujaribu kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.
-
Mazungumzo baina ya pande hasimu nchini Libya yameanza huko Morocco
Sep 06, 2020 02:27Mazungumzo baina ya pande mbili hasimu nchini Libya yalianza jana Jumamosi katika viunga vya mji mkuu wa Moroco Rabat.
-
Morocco yapinga pendekezo la Misri kuhusu Libya
Jun 08, 2020 12:04Serikali ya Morocco imepinga mpango wa Misri kuhusu Libya na kusisitiza kuwa muafaka wa kisiasa wa al Sakhirat ni marejeo asili ya ufumbuzi wa mgogoro wa Libya.
-
Kiongozi wa kundi la al-Qaeda kaskazini mwa Afrika auawa nchini Mali
Jun 06, 2020 07:53Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo ya Ulaya limefanikiwa kumuua kiongozi wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda katika eneo la Maghreb kaskazini mwa Afrika (Aqim) huko nchini Mali.