Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Maelfu wakamatwa Morocco baada ya kukiuka sheria ya hali ya hatari kuhusu corona

    Maelfu wakamatwa Morocco baada ya kukiuka sheria ya hali ya hatari kuhusu corona

    Apr 14, 2020 02:31

    Watu zaidi ya 4,300 wamekamatwa nchini Morocco katika kipindi cha siku chache zilizopita baada ya kukiuka sheria ya hali ya hatari ambayo inatekelezwa ili kuzuia kuenea ugonjwa hatari wa corona au COVID-19 katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mgogoro baina ya Morocco na Imarati wapamba moto

    Mgogoro baina ya Morocco na Imarati wapamba moto

    Mar 12, 2020 08:05

    Uhusiano wa kidiplomasia baina ya Morocco na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umeingia katika mgogoro mkubwa baada ya Abu Dhabi kukataa kutuma balozi mpya mjini Rabbat, na Morocco nayo imeamua kushusha chini kabisa kiwango cha uhusiano wake wa kidiplomasia na Imarati.

  • Kesi ya kwanza ya Corona yaripotiwa DRC huku virusi hivyo vikiua Morocco

    Kesi ya kwanza ya Corona yaripotiwa DRC huku virusi hivyo vikiua Morocco

    Mar 11, 2020 07:12

    Kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Corona (Covid-19) imeripotiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia, huku virusi hivyo hatarishi vikiendelea kusambaa katika maeneo mbali mbali duniani.

  • Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya

    Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya

    Mar 06, 2020 11:34

    Vyombo vya habari vya Morocco vimeripoti kwamba, maafisa wa nchi hiyo wamenasa maelfu ya maski za masuala ya tiba zilizokuwa zikitoroshwa na kupelekwa Ulaya.

  • Morocco yatangaza kuiunga mkono serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya

    Morocco yatangaza kuiunga mkono serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya

    Feb 03, 2020 06:55

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Morocco imetoa tamko maalumu la kuitambua rasmi serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na jamii ya kimataifa.

  • Morocco yalalamikia kutoalikwa Rabat kwenye mkutano wa amani ya Libya

    Morocco yalalamikia kutoalikwa Rabat kwenye mkutano wa amani ya Libya

    Jan 20, 2020 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amelalamikia kitendo cha kutoalikwa nchi yake kushiriki mkutano wa amani ya Libya mjini Berlin, Ujerumani na akasema vigezo vinavyotumiwa kuchagua nchi kushiriki katika mkutano huo vinaibua maswali mengi.

  • Kushindwa kwa jitihada za Washington za kuanzisha uhusiano baina ya Morocco na Israel

    Kushindwa kwa jitihada za Washington za kuanzisha uhusiano baina ya Morocco na Israel

    Dec 07, 2019 07:42

    Tangu aliposhika madaraka ya nchi miaka kadhaa iliyopita Rais Donald Trump wa Marekani amechukua hatua ambazo hazijawahi kushuhudiwa za kuuhami na kuukingia kifua utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mfalme wa Morocco awaachia huru mamia ya wafungwa kwa mnasaba wa Maulidi

    Mfalme wa Morocco awaachia huru mamia ya wafungwa kwa mnasaba wa Maulidi

    Nov 10, 2019 07:23

    Mfalme Muhammad wa Sita wa Morocco ametangaza msahama kwa wafungwa 300 kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mazazi ya Mtume Muhammad (SAW).

  • Wamorocco wakasirishwa na kupeperushwa bendera ya Israel nchini kwao

    Wamorocco wakasirishwa na kupeperushwa bendera ya Israel nchini kwao

    Sep 24, 2019 12:12

    Safari ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel ukiongozwa na mmoja wa viongozi wa chama cha Likud nchini Morocco na kupeperushwa bendera ya utawala huo kusini mashariki mwa nchi hiyo, kumezua malalamiko ya Wamorocco.

  • Morocco yazima njama na hujuma ya kigaidi ya Daesh

    Morocco yazima njama na hujuma ya kigaidi ya Daesh

    Sep 05, 2019 12:17

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Morocco imetangaza kuwa imezima mpango wa kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS