-
Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa
Oct 08, 2021 13:22Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametangaza kuwa, kuwaruhusu Wayahudi kufanya ibada katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa ni hatua hatari sana inayovunjia heshima matukufu ya Kiislamu.
-
Khatibu wa al-Aqswa: Wazayuni wanataka kutwisha uhakika mwingine kuhusu Msikiti wa al-Aqswa
Sep 23, 2021 04:38Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa amesisitiza kuwa, hatua ya Wazayuni ya kung'ang'a kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa al-Aqswa inaweka wazi njama zao za kutaka kutwisha uhakika mpya kuhusiana na kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
-
HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa
Sep 05, 2021 22:34Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.
-
Wapalestina 45,000 wahudhuria Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al Aqsa
Sep 03, 2021 23:05Vyombo vya habari vya Palestina vimetangaza kuwa, Waislamu Wapalestina wamehudhuria kwa wingi katika Sala ya Ijumaa ya jana kwenye msikiti mtukufu wa Al Aqsa.
-
Wapalestina watakiwa wajitokeze kwa wingi katika kumbukumbu ya kuchomwa moto Msikiti wa Al Aqsa
Aug 20, 2021 03:36Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kukumbuka tukio la kuchomwa moto msikiti wa Al Aqsa.
-
Jihad Islami: Tutailinda al Aqsa kwa nguvu zote
Jul 20, 2021 03:12Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetoa tamko kuhusu hujuma iliyofanywa na Wazayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika Siku ya Arafa na kutangaza kuwa, vita vya Panga la Quds bado havijaisha na taifa la Palestina liko tayari kulinda eneo hilo takatifu.
-
Ndege zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni zimeonekana katika anga ya msikiti wa al Aqsa
Jul 19, 2021 07:01Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, ndege zisizo na rubani za Israel zimeonekana katika anga ya msikiti mtakatifu wa al Aqsa.
-
Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi
Jun 20, 2021 22:24Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema taifa la Palestina karibuni hivi litaukomboa Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.
-
Sayyid Nasrullah: Bila shaka sote tutaswali katika Msikiti wa al-Aqsa
Jun 09, 2021 03:47Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna chembe ya shaka kuwa Waislamu wote karibuni hivi wataibuka washindi mkabala wa Wazayuni na waitifaki wao, na hatimaye watatekeleza ibada ya Swala katika Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.
-
Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa
Jun 07, 2021 22:17Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema wananchi wa Palestina na kambi ya muqawama katu hawataruhusu kuvunjiwa heshima Masjidul Aqsa.