Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa

    Oct 08, 2021 13:22

    Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametangaza kuwa, kuwaruhusu Wayahudi kufanya ibada katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa ni hatua hatari sana inayovunjia heshima matukufu ya Kiislamu.

  • Khatibu wa al-Aqswa: Wazayuni wanataka kutwisha uhakika mwingine kuhusu Msikiti wa al-Aqswa

    Khatibu wa al-Aqswa: Wazayuni wanataka kutwisha uhakika mwingine kuhusu Msikiti wa al-Aqswa

    Sep 23, 2021 04:38

    Khatibu wa Msikiti wa al-Aqswa amesisitiza kuwa, hatua ya Wazayuni ya kung'ang'a kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa al-Aqswa inaweka wazi njama zao za kutaka kutwisha uhakika mpya kuhusiana na kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.

  • HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    Sep 05, 2021 22:34

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.

  • Wapalestina 45,000 wahudhuria Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Wapalestina 45,000 wahudhuria Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Sep 03, 2021 23:05

    Vyombo vya habari vya Palestina vimetangaza kuwa, Waislamu Wapalestina wamehudhuria kwa wingi katika Sala ya Ijumaa ya jana kwenye msikiti mtukufu wa Al Aqsa.

  • Wapalestina watakiwa wajitokeze kwa wingi katika kumbukumbu ya kuchomwa moto Msikiti wa Al Aqsa

    Wapalestina watakiwa wajitokeze kwa wingi katika kumbukumbu ya kuchomwa moto Msikiti wa Al Aqsa

    Aug 20, 2021 03:36

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kukumbuka tukio la kuchomwa moto msikiti wa Al Aqsa.

  • Jihad Islami: Tutailinda al Aqsa kwa nguvu zote

    Jihad Islami: Tutailinda al Aqsa kwa nguvu zote

    Jul 20, 2021 03:12

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetoa tamko kuhusu hujuma iliyofanywa na Wazayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika Siku ya Arafa na kutangaza kuwa, vita vya Panga la Quds bado havijaisha na taifa la Palestina liko tayari kulinda eneo hilo takatifu.

  • Ndege zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni zimeonekana katika anga ya msikiti wa al Aqsa

    Ndege zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni zimeonekana katika anga ya msikiti wa al Aqsa

    Jul 19, 2021 07:01

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, ndege zisizo na rubani za Israel zimeonekana katika anga ya msikiti mtakatifu wa al Aqsa.

  • Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi

    Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi

    Jun 20, 2021 22:24

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema taifa la Palestina karibuni hivi litaukomboa Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.

  • Sayyid Nasrullah: Bila shaka sote tutaswali katika Msikiti wa al-Aqsa

    Sayyid Nasrullah: Bila shaka sote tutaswali katika Msikiti wa al-Aqsa

    Jun 09, 2021 03:47

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna chembe ya shaka kuwa Waislamu wote karibuni hivi wataibuka washindi mkabala wa Wazayuni na waitifaki wao, na hatimaye watatekeleza ibada ya Swala katika Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.

  • Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa

    Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa

    Jun 07, 2021 22:17

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema wananchi wa Palestina na kambi ya muqawama katu hawataruhusu kuvunjiwa heshima Masjidul Aqsa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS