Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mtu mweusi

  • Zarif: Marekani ingali inakiuka haki za Wamarekani weusi

    Zarif: Marekani ingali inakiuka haki za Wamarekani weusi

    Jan 22, 2019 08:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani ya kumkamata, kumadhalilisha na kumzuilia kinyume cha sheria, mwandishi wa habari wa Press TV, Marzieh Hashemi imeweka bayana tena namna nchi hiyo inavyokiuka haki za kiraia za Wamarekani wenye asili ya Afrika.

  • Mtangazaji wa televisheni Ubelgiji ajiuzulu kwa sababu ya kutusiwa kutokana na rangi ya ngozi yake

    Mtangazaji wa televisheni Ubelgiji ajiuzulu kwa sababu ya kutusiwa kutokana na rangi ya ngozi yake

    Sep 29, 2018 02:44

    Mtangazaji mwenye asili ya Kiafrika wa kipindi cha hali ya hewa katika televisheni ya taifa nchini Ubelgiji amelazimika kuacha kazi baada ya kupokea jumbe kadhaa za matusi ya ubaguzi kwa sababu ya rangi ya ngozi yake.

  • Wanafunzi wenye asili ya Afrika wazidi kunyanyaswa na polisi wa Marekani

    Wanafunzi wenye asili ya Afrika wazidi kunyanyaswa na polisi wa Marekani

    Sep 24, 2018 02:57

    Matokeo ya uchunguzi uliosambazwa hivi karibuni kabisa unaonesha kuongezeka ukandamizaji na unyanyasaji wa polisi wa Marekani dhidi ya wanafunzi wa shule za msingi na za sekondari wenye asili ya Afrika katika mji wa Philadelphia.

  • Kafichuliwa kashfa nyingine ya ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi

    Kafichuliwa kashfa nyingine ya ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi

    Sep 04, 2018 13:46

    Kusambaa filamu nyingine ya ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo mwenye asili ya Afrika, kumeibua utata.

  • Unyanyasaji wa polisi kwa watu wenye asili ya Afrika ni mkubwa zaidi Chicago Marekani

    Unyanyasaji wa polisi kwa watu wenye asili ya Afrika ni mkubwa zaidi Chicago Marekani

    Aug 19, 2018 15:21

    Vyombo vya habari vya Marekani vimeandika kuwa kiwango cha unyanyasaji unaofanywa na jeshi la polisi la nchi hiyo dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika ni mara 14 zaidi ikilinganishwa na Wazungu.

  • CNN: White House haina hata afisa mmoja mwandamizi Mmarekani mwenye asili ya Afrika

    CNN: White House haina hata afisa mmoja mwandamizi Mmarekani mwenye asili ya Afrika

    Aug 15, 2018 02:37

    Kanali ya televisheni ya CNN imeripoti kuwa katika maafisa waandamizi 48 wanaohudumu kwenye Ikulu ya rais wa Marekani, White House hakuna hata mmoja miongoni mwao ambaye ni Mmarekani mwenye asili ya Afrika.

  • Seneta Sanders alaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi

    Seneta Sanders alaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi

    Mar 27, 2018 16:24

    Seneta Bernie Sanders wa chama cha Democrat nchini Marekani amekosoa ukandamizaji mkubwa wa polisi ya Marekani dhidi ya watu wenye asili ya Afrika nchini humo.

  • Wanafunzi Marekani wenye asili ya Afrika na Latini waendelea kubaguliwa mno katika shule

    Wanafunzi Marekani wenye asili ya Afrika na Latini waendelea kubaguliwa mno katika shule

    Jan 12, 2018 04:46

    Matokeo ya ripoti mpya ya uchunguzi yanaonyesha ongezeko la hali ya juu la umasikini na ubaguzi dhidi ya wanafunzi wenye asili ya Kiafrika na malatino, katika shule za Marekani.

  • Zaidi ya asilimia 90 ya Wamarekani wenye asili ya Afrika hawaridhishwi na utendaji wa Trump

    Zaidi ya asilimia 90 ya Wamarekani wenye asili ya Afrika hawaridhishwi na utendaji wa Trump

    Sep 28, 2017 07:56

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa na Chuo Kikuu cha Quinnipiac nchini Marekani unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 90 ya raia weusi wa nchi hiyo wenye asili ya Kiafrika hawaridhishwi na utendaji wa Rais Donald Trump.

  • Gallup: Wamarekani weusi zaidi 220 wameuawa na polisi ya nchi hiyo mwaka uliopita

    Gallup: Wamarekani weusi zaidi 220 wameuawa na polisi ya nchi hiyo mwaka uliopita

    Aug 27, 2017 02:39

    Zaidi ya Wamarekani 220 wenye asili ya Afrika wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi ya nchi hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS