Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • Iran: Muqawama wa Kiislamu hauishii tu katika ukanda wa Asia Magharibi

    Iran: Muqawama wa Kiislamu hauishii tu katika ukanda wa Asia Magharibi

    Aug 15, 2022 07:06

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muqawama na mapambano ya Kiislamu si kitu cha kuishia kwenye eneo moja tu.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Qatar wazungumzia jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Qatar wazungumzia jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Aug 08, 2022 03:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo na mwenzake wa Qatar na kusema: "Harakati za Mapambano (muqawama) zina mpango kamili wa kutoa jibu kali na lenye taathira kwa jinai za utawala wa Kizayuni."

  • Hujjatul Islam Akbari: Imam Hussein aliarifisha wazo la 'Muqawama' kwa waumini

    Hujjatul Islam Akbari: Imam Hussein aliarifisha wazo la 'Muqawama' kwa waumini

    Aug 05, 2022 12:24

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema Imam Hussein (AS) aliarifsha hoja ya muqawama kwa waumini wote wa Kiislamu, na kwamba mapambano ndiyo njia pekee ya kupata mafanikio.

  • Rais wa Iran: Wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni

    Rais wa Iran: Wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni

    Aug 05, 2022 02:56

    Rais Ebrahim Raisi amesema, leo wananchi wa mataifa ya Kiislamu ya eneo wanauchukia mno utawala ghasibu wa Kizayuni na wanaamini kuwa Muqawama na mapambano ndio njia kuu na ya msingi ya kukabiliana na utawala huo.

  • "Kambi ya muqawama iungane ili iweze kuwafukuza askari wa US katika eneo"

    Jul 21, 2022 12:09

    Afisa wa ngazi ya juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za kimuqawama zinapaswa kuendelea kushirikiana na kuimarisha uhusiano wao ili zifanikiwe kuwatimua wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Syria na katika eneo lote la Asia Magharibi.

  • Rais wa Iran apongeza mapambano ya watu wa Syria

    Rais wa Iran apongeza mapambano ya watu wa Syria

    Jul 21, 2022 07:34

    Rais Ebrahim Raeisi wa Iran amesema ana yakini kuwa Syria ina mustakakbali mwema huku akiwapongeza wananchi wa Syria kwa mapambano na muqawama katika kipindi cha miaka 11 ya vita dhidi ya nchi hiyo ambavyo vinaungwa mkono na madola ya kigeni.

  • Makundi ya muqawama Palestina yamkosoa Abbas kukutana na Gantz

    Makundi ya muqawama Palestina yamkosoa Abbas kukutana na Gantz

    Jul 09, 2022 07:35

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amekosolewa vikali na makundi ya muqawama ya Palestina, kwa kukutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benny Gantz.

  • Rais Maduro: Sisi ni sehemu ya Mrengo wa Muqawama

    Rais Maduro: Sisi ni sehemu ya Mrengo wa Muqawama

    Jun 21, 2022 07:46

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema Mrengo wa Muqawama haujajibana kwa nchi fulani tu duniani, lakini unawahusu watu wote wanaopambana na ukoloni na madola ya kibeberu.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuwa mapambano ndio njia pekee ya kufikia ushindi dhidi ya Marekani

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuwa mapambano ndio njia pekee ya kufikia ushindi dhidi ya Marekani

    Jun 12, 2022 09:03

    Akizungumza jana Jumamosi alasiri katika kikao na Rais Nicolas Maduro wa Venezuela na ujumbe alioandamana nao, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kusimama imara Iran na Venezuela mbele ya mashinikizo makali na vita vya pande kadhaa vya Marekani na kusisitiza: Uzoefu wa mafanikio wa nchi mbili unaonyesha kwamba njia pekee ya kukabiliana na mashinikizo hayo ni mapambano na kusimamam imara.

  • Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Jun 12, 2022 07:53

    Duru za kiusalama huko Palestina zimedokeza kuwa, vikosi vya muqawama vya nchi hiyo vimefanyia majaribio makombora yao katika fukwe za Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS