-
Ustawi wa uhusiano wa Iran na nchi za Asia ya Kati 2025, sababu na matunda yake
Jan 08, 2026 22:51Uhusiano wa Iran na nchi za Asia ya Kati ulistawi sana katika mwaka uliopita waw 2025 na kuna sababu mbalimbali zilizopelekea kushuhudiwa jambo hilo lenye manufaa mengi.
-
Rais Rouhani: Mwaka uliopita ulijaa hamasa kubwa ya wananchi wa Iran
Mar 20, 2020 04:53Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake wa mwaka mpya wa 1399 Hijria Shamsia kwamba: Mwaka uliopita ulikuwa mwaka wa matukio na hamasa nyingi, na kwamba matukio makubwa zaidi katika historia ya nchi hii na hamasa zenye fahari kubwa zimetengenezwa na wananchi mashujaa wa Iran katika mwaka huo.