• NATO inayoongozwa na Marekani yakumbwa na sakata la ufisadi

    NATO inayoongozwa na Marekani yakumbwa na sakata la ufisadi

    May 16, 2025 06:48

    Imefichuka kuwa, nchi nyingi duniani zimeanzisha uchunguzi wa rushwa katika mfumo wa ununuzi wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) linaloongozwa na Marekani.

  • Jumatano, Mei 14, 2024

    Jumatano, Mei 14, 2024

    May 14, 2025 02:40

    Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Pili, Dhulqaada, 1446 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2025 Milaadia.

  • Trump: Ukraine ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha mzozo na Russia

    Trump: Ukraine ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha mzozo na Russia

    Apr 26, 2025 05:36

    Rais wa Marekani, amedai kuwa maneno yake kuhusu kumaliza vita nchini Ukraine kwa siku moja yalitiwa chumvi, na kusema kuwa Kiev ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha vita na Russia.

  • Kamanda Mkuu wa US Ulaya: Mauzo ya silaha za Marekani kwa Ulaya yameongezeka kwa 600%

    Kamanda Mkuu wa US Ulaya: Mauzo ya silaha za Marekani kwa Ulaya yameongezeka kwa 600%

    Apr 09, 2025 06:34

    Kamanda Mkuu wa Marekani katika Kamandi ya jeshi la nchi hiyo barani Ulaya amesema, mauzo ya silaha za Marekani kwa nchi za Ulaya yameongezeka kwa asilimia 600 tangu vilipoanza vita kati ya Russia na Ukraine na akaongeza kuwa, thamani ya kiwango cha silaha zilizoagizwa na nchi za Ulaya tangu vilipoanza vita kati ya Russia na Ukraine hadi sasa imefikia dola bilioni 265.

  • Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan

    Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan

    Apr 08, 2025 09:42

    Mamia ya familia zimefurushwa kutoka vijiji viwili magharibi mwa Sudan baada ya mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF). Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).

  • Ijumaa, Aprili 4, 2025

    Ijumaa, Aprili 4, 2025

    Apr 04, 2025 02:34

    Leo ni Ijumaa tarehe 5 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria sawa na 04 Aprili mwaka 2025 Milaadia.

  • Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Mar 28, 2025 06:04

    Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.

  • Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mar 24, 2025 10:34

    Kwa kutilia maanani jaribio la utawala wa Trump la kuanzisha usitishaji vita nchini Ukraine kwa kuilazimisha ikubali masharti yaliyowekwa na Russia na upinzani wa nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya suala hili, na kwa upande mwingine madai ya baadhi ya viongozi wa Ulaya kuhusu vitisho vya Russia dhidi ya bara hilo, nchi hizo sasa zimechukua hatua mpya kwa ajili ya kukabiliana na Moscow.

  • Elon Musk aunga mkono kujiondoa Marekani katika UN, NATO

    Elon Musk aunga mkono kujiondoa Marekani katika UN, NATO

    Mar 02, 2025 12:25

    Bilionea Elon Musk ametangaza hadharani kuunga mkono wazo la Marekani kujiondoa kutoka Umoja wa Mataifa UN na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO.

  • Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Feb 27, 2025 10:59

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine "isahau" kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo ni pigo kwa azma ya muda mrefu ya nchi hiyo ya Ulaya, ambayo iliungwa mkono na Rais wa zamani Joe Biden.