Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi za Kiislamu

  • Spika wa Bunge la Iran awatumia salamu za Ramadhani maspika wa mabunge

    Spika wa Bunge la Iran awatumia salamu za Ramadhani maspika wa mabunge

    May 16, 2018 14:08

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, Ali Larijani amewatumia maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu salamu kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Taarifa ya mwishoni mwa mkutano wa 13 wa mabunge ya OIC yalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Taarifa ya mwishoni mwa mkutano wa 13 wa mabunge ya OIC yalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Jan 18, 2018 03:41

    Mkutano wa 13 wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ulimalizika jana hapa mjini Tehran kwa kutolewa taarifa maalumu.

  • Larijani: Ni jukumu la nchi za Kiislamu kufanya juhudi za kupunguza hitilafu

    Larijani: Ni jukumu la nchi za Kiislamu kufanya juhudi za kupunguza hitilafu

    Jan 15, 2018 14:26

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria njama za maadui waliokula kiapo dhidi ya Uislamu kwa ajili ya kupenya na kuzusha hitilafu miongoni mwa Waislamu na kusisitiza kwamba, ni jukumu la nchi za Kiislamu kuzuia kuenea hitilafu na mizozo katika Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Dakta Larijani: Mafanikkio ya nchi za Kiislamu yapo katika umoja na mshikamano wao

    Dakta Larijani: Mafanikkio ya nchi za Kiislamu yapo katika umoja na mshikamano wao

    Dec 14, 2017 06:49

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria matukio ya eneo la Masharikki ya Kati na kusema kuwa, kama nchi za Kiislamu zinataka zipate mafanikio, basi zinapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja na kupiga hatua kuelekea upande mmoja.

  • Iran yapendekeza kuundwa kambi tofauti za kiuchumi katika nchi za Kiislamu

    Iran yapendekeza kuundwa kambi tofauti za kiuchumi katika nchi za Kiislamu

    Nov 22, 2017 03:04

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuundwa kambi tofauti za kiuchumi katika nchi za Kiislamu kulingana na uwezo wa nchi husika kwa shabaha ya kupanua hisa ya nchi hizo katika uchumi wa kimataifa ni jambo la dharura.

  • Larijani: Inafedhehesha nchi za Kiislamu kuafikiana na utawala wa Kizayuni na Marekani kuwaua Waislamu

    Larijani: Inafedhehesha nchi za Kiislamu kuafikiana na utawala wa Kizayuni na Marekani kuwaua Waislamu

    Apr 20, 2017 07:07

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) ya Iran amesema ni jambo la kufedhehesha kwa baadhi ya nchi za Kiislamu kuafikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani juu ya kuwavurumizia mabomu ya vishada Waislamu.

  • Hatua  mpya ya Trump dhidi ya Waislamu

    Hatua mpya ya Trump dhidi ya Waislamu

    Jan 29, 2017 03:51

    Kwa mujibu wa amri iliyotiwa saini na Rais Donald Trump wa Marekani chini ya anwani ya kulinda taifa mbele ya kuingia magaidi wa kigeni katika ardhi ya Marekani, ni marufuku kutolewa viza za kuingia Marekani kwa raia wa nchi ambazo eti zina madhara kwa maslahi ya Marekani kwa kipindi cha siku 90.

  • Spika wa Bunge la Iran asisitiza kustawishwa uhusiano na nchi za Kiislamu

    Spika wa Bunge la Iran asisitiza kustawishwa uhusiano na nchi za Kiislamu

    Nov 14, 2016 04:08

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Iran inachukua hatua kwa lengo la kustawisha uhusiano wa pande zote na nchi za Kiislamu na za Kiarabu

  • Taasisi ya Misri yataka kuundwa kamati ya Kiislamu ya kusimamia Hija

    Taasisi ya Misri yataka kuundwa kamati ya Kiislamu ya kusimamia Hija

    Sep 07, 2016 13:28

    Taasisi moja ya nchini Misri kwa jina la "Taasisi ya Uadilifu na Ustawi wa Haki za Binadamu imezitaka nchi za Kiislamu ziasisi kamati ya Kiislamu kwa ajili ya kusimamia masuala ya Hija.

  • Rais Rouhani ahutubia kikao cha viongozi wa OIC

    Rais Rouhani ahutubia kikao cha viongozi wa OIC

    Apr 14, 2016 14:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuimarishwa uhusiano baina ya nchi za Kiislamu ni kati ya vipaumbele vya awali vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS