-
66 wahofiwa kupoteza maisha baada ya ndege ya abiria ya Misri kutoweka kwenye rada
May 19, 2016 07:10Ndege ya abiria ya shirika la EgyptAir iliyokuwa imebea abiria 56 na wahudumu 10 wakiwemo marubani imetoweka kwenye rada, ikitokea mji mkuu wa Ufaransa Paris kuelekea Cairo, mji mkuu wa Misri.
-
Mabaki ya ndege ya EgyptAir yapatikana Baharini
May 20, 2016 16:26Jeshi Wanamaji la Misri limesema kuwa limepata baadhi ya mabaki ya ndege ya abiria ya EgyptAir katika Bahari ya Mediterranean yapata kilomita 290 kaskazini mwa mji wa pwani wa Alexandria.
-
Aliyeteka nyara ndege ya Misri ajisalimisha kwa polisi ya Cyprus
Mar 29, 2016 14:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Cyprus imesema kuwa, Seifuddin Mustafa, raia wa Misri aliyeteka nyara ndege ya abiria ya EgyptAir hatimaye amejisalimisha kwa vyombo vya usalama katika uwanja wa ndege wa Larnaca nchini Cyprus, baada ya masaa sita ya utekaji nyara.