-
Jumamosi, 22 Oktoba, 2016
Oct 21, 2016 23:08Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Nne Muharram 1438 Hijria mwafaka na tarehe 22 Oktoba mwaka 2016 Miladia.
-
Niger katika maombolezo ya kitaifa kufuatia kuuawa wanajeshi wake
Oct 09, 2016 10:17Rais wa Niger ametangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa kote nchini humo kufuatia kuuliwa wanajeshi wake kadhaa katika shambulio la watu wenye silaha walioivamia kambi moja inayowahifadhi raia wa Mali katika eneo moja kaskazini magharibi mwa Niger.
-
Kuwekwa na Marekani kambi kubwa ya kijeshi nchini Niger
Oct 01, 2016 04:17Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imetenga kwa akali kiasi cha Dola milioni 50 kwa ajili ya kuibadili kambi yake ya kijeshi mjini Agadez, katikati mwa Niger na kuwa mahala pa kuhifadhia ndege zake za kivita nchini humo.
-
Wanajeshi wanne wa Chad wauawa mpakani na Niger
Aug 27, 2016 23:35Wanajeshi wanne wa Chad wameuawa baada ya kuripuka bomu la kutegwa ardhini katika eneo moja la mpakani mwa nchi hiyo na Niger.
-
Niger yasema wahajiri 34 wameaga dunia wakielekea Ulaya
Jun 16, 2016 11:00Serikali ya Niger imesema wahajiri 34 raia wa nchi kadhaa za Afrika wakiwemo watoto wadogo 20 wameaga dunia katika jangwa la nchi hiyo baada ya kutelekezwa na mtu aliyekuwa akiwapeleka barani Ulaya.
-
50,000 watoroka Niger kufuatia hujuma za magaidi wa Boko Haram
Jun 07, 2016 23:08Melfu ya watu wamekimbia nyumba zao kusini kaskazini mwa Niger kufuatia mfululizo wa mashambulizi toka kwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram walioko mjini Bosso mkoani Diffa.
-
Niger wafanya maandamano kulaani jinai za Boko Haram
Jun 05, 2016 09:54Wananchi wa mji mkuu wa Niger, wamefanya maandamano makubwa ya kutangaza uungaji mkono wao kwa wahanga wa mashambulizi ya hivi karibuni ya genge la kigaidi la Boko Haram.
-
Boko Haram yadhibiti mji wa mpaka na Niger
Jun 04, 2016 03:43Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeteka na kudhibiti mji wa Bosso, ulioko kusini mashariki mwa mpaka wa Niger.
-
Jeshi la Niger laangamiza wanachama 12 wa Boko Haram
May 29, 2016 09:47Jeshi la Niger limetangaza kuwa limeangamiza wanachama 12 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika kijiji cha Bosso, kusini mashariki mwa eneo la Diffa karibu na mpaka na Nigeria.
-
Nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi la Boko Haram zatakiwa kutekeleza ahadi zao
Apr 27, 2016 09:53Mkuu wa vikosi vya Kiafrika vya kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya wanamgambo hao kufungamana na ahadi zao.