-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu nchini Swaziland
Feb 28, 2016 13:01Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa maelfu ya watu nchini Swaziland wako katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa kutokana na nchi hiyo kuathiriwa na uhaba mkubwa wa chakula uliosababishwa na ukame mkubwa uliotokana na el Nino.