-
Oman yajiandaa kumtangaza mrithi wa utawala baada ya hali ya afya ya Sultan Qaboos kuzidi kuwa mbaya
Dec 26, 2019 04:02Ripoti za karibuni za vyombo vya habari zimeeleza kwamba, Oman inajiandaa kumtangaza mrithi wa utawala baada ya hali ya afya ya kiongozi wa nchi hiyo Sultan Qaboos bin Said Al Said anayeugua saratani ya utumbo kuzidi kuwa mbaya.
-
Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat
Dec 24, 2019 23:25Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Mohammad Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen nchini Oman.
-
Ijumaa, 20 Disemba, 2019
Dec 19, 2019 21:37Leo ni Ijumaa tarehe 23 Mfunguo Saba Rabiuthani 1441 Hijria sawa na Disemba 20 mwaka 2019.
-
Oman na Qatar zataka kuimarisha uhusiano na Iran
Dec 15, 2019 04:31Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema taifa hili linajivunia kuwa na uhusiano mzuri na wa udugu na Oman huku akisisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano huo.
-
Erdogan: Uturuki itatuma majeshi Libya ikiombwa kufanya hivyo
Dec 10, 2019 09:07Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, Ankara iko tayari kutuma majeshi nchini Libya iwapo serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo itaomba msaada huo.
-
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman zatiliana saini hati tatu za ushirikiano
Dec 08, 2019 01:15Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman zimetiliana saini hati tatu za ushirikiano katika uwanja wa viwango vya bidhaa, michezo na usafiri na uchukuzi wa baharini.
-
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Oman wafanya mazungumzo mjini Tehran
Dec 02, 2019 09:04Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Oman ambaye yupo safarini hapa Tehran, leo amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake, Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran.
-
Jumamosi, 28 Septemba, 2019
Sep 27, 2019 23:07Leo ni Jumamosi tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2019 Miladia.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani ndio chanzo hasa cha kukosekana amani katika eneo
Aug 08, 2019 08:01Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, muungano wa kijeshi unaotaka kuundwa na Marekani wa kisingizio cha kudhamini usalama wa vyombo vya majini ndio utakaosababisha kuvurugika zaidi amani na usalama katika eneo.
-
Oman yakanusha madai ya kutaka kuhuisha uhusiano wake na Israel
Jul 03, 2019 02:50Serikali ya Oman imekanusha vikali madai ya Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (MOSSAD) aliyedai kuwa Oman ipo mbioni kuhuisha uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala huo haramu.