-
Haitham bin Tariq Aal Said, ateuliwa kuwa Sultan mpya wa Oman
Jan 11, 2020 04:36Bw. Haitham bin Tariq Aal Said ameteuliwa kuwa Sultan mpya wa Oman baada ya kutangazwa habari ya kufariki dunia Sultan Qaboos wa nchi hiyo usiku wa kuamkia leo Jumamosi.
-
Sultan Qaboos wa Oman ameaga dunia, siku tatu za maombolezo ya kitaifa zatangazwa
Jan 11, 2020 01:21Sultan Qaboos bin Said wa Oman ameanga dunia mapema leo Jumamosi akiwa na umri wa miaka 79
-
Bin Alawi: Iran na Oman zinachukua hatua kwa ajili ya usalama wa eneo
Jan 07, 2020 08:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inachukua hatua kwa ajili ya kudhamini usalama wa eneo la Ghuba ya Uajemi na Oman pia inashirikiana na Tehran katika uwanja huo.
-
Oman yajiandaa kumtangaza mrithi wa utawala baada ya hali ya afya ya Sultan Qaboos kuzidi kuwa mbaya
Dec 26, 2019 04:02Ripoti za karibuni za vyombo vya habari zimeeleza kwamba, Oman inajiandaa kumtangaza mrithi wa utawala baada ya hali ya afya ya kiongozi wa nchi hiyo Sultan Qaboos bin Said Al Said anayeugua saratani ya utumbo kuzidi kuwa mbaya.
-
Dakta Zarif akutana na Naibu Sultani wa Oman na msemaji wa Ansarullah Muscat
Dec 24, 2019 23:25Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Mohammad Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen nchini Oman.
-
Ijumaa, 20 Disemba, 2019
Dec 19, 2019 21:37Leo ni Ijumaa tarehe 23 Mfunguo Saba Rabiuthani 1441 Hijria sawa na Disemba 20 mwaka 2019.
-
Oman na Qatar zataka kuimarisha uhusiano na Iran
Dec 15, 2019 04:31Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema taifa hili linajivunia kuwa na uhusiano mzuri na wa udugu na Oman huku akisisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano huo.
-
Erdogan: Uturuki itatuma majeshi Libya ikiombwa kufanya hivyo
Dec 10, 2019 09:07Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, Ankara iko tayari kutuma majeshi nchini Libya iwapo serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo itaomba msaada huo.
-
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman zatiliana saini hati tatu za ushirikiano
Dec 08, 2019 01:15Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman zimetiliana saini hati tatu za ushirikiano katika uwanja wa viwango vya bidhaa, michezo na usafiri na uchukuzi wa baharini.
-
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Oman wafanya mazungumzo mjini Tehran
Dec 02, 2019 09:04Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Oman ambaye yupo safarini hapa Tehran, leo amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake, Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran.