Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • MOSSAD: Israel kufungua 'ubalozi wake' nchini Oman

    MOSSAD: Israel kufungua 'ubalozi wake' nchini Oman

    Jul 02, 2019 07:24

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (MOSSAD) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unatazamiwa hivi karibuni kufungua Ofisi ya Uwakilishi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala huo katili nchini Oman.

  • Iran: Hatufanyi mazungumzo ya moja kwa moja, au yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran: Hatufanyi mazungumzo ya moja kwa moja, au yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    May 27, 2019 04:03

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amepuuzilia mbali madai yaliyoenea hivi karibuni kwamba Tehran inafanya mazungumzo na Marekani kwa shabaha ya kupunguza taharuki baina ya nchi mbili.

  • Iran na Oman kuimarisha ushirikiano wao wa kijeshi na kiulinzi

    Iran na Oman kuimarisha ushirikiano wao wa kijeshi na kiulinzi

    Apr 15, 2019 03:45

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman zimeeleza hamu yao ya kuimarisha ushirikiano wao wa kijeshi na kiulinzi.

  • Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina

    Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina

    Apr 08, 2019 03:28

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Ali Larijani ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya nchi za Kiislamu ya kuitelekeza na kuiweka pembeni kadhia muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, ambayo ni Palestina.

  • Msimamo wa Oman wa kuiunga mkono Israel wakosolewa na Jordan

    Msimamo wa Oman wa kuiunga mkono Israel wakosolewa na Jordan

    Apr 07, 2019 11:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan ametoa jibu kwa matamshi ya waziri mwenzake wa Oman ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kwamba, tatizo kuu ni ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na Israel.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Marekani haiwezi kulazimisha kwa mabavu mpango wake wa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Marekani haiwezi kulazimisha kwa mabavu mpango wake wa "Muamala wa Karne"

    Mar 19, 2019 23:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf bin Alawi amesema: Marekani haiwezi kuutekeleza mpango wa "Muamala wa Karne" pasi na kukubali kuwepo nchi huru ya Palestina.

  • Lawama za Oman kwa nchi za Kiarabu zinazoendesha siasa za kiadui dhidi ya Syria na Yemen

    Lawama za Oman kwa nchi za Kiarabu zinazoendesha siasa za kiadui dhidi ya Syria na Yemen

    Feb 20, 2019 03:19

    Yusauf bin Alawi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amehimiza kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) na kuzilaumu baadhi ya nchi za Kiarabu kwa kukwamisha jambo hilo. Bin Alawi ametoa kauli hiyo katika mazungumzo ya ana kwa ana na Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia.

  • Mfalme wa Oman atuma ujumbe wa pongezi kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Mfalme wa Oman atuma ujumbe wa pongezi kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 10, 2019 23:18

    Mfalme wa Oman Qaboos bin Said amemtumia ujumbe wa pongezi Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi halina nguvu yoyote

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi halina nguvu yoyote

    Jan 13, 2019 03:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) na Katibu Mkuu wake hawana nguvu yoyote. Mohammed Abdulrahman Aal Thani ameyasema hayo jana katika mazungumzo huko Doha na Abdullatif al Zayan Katibu Mkuu wa baraza hilo na Yusuf bin Alawi Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman.

  • Baraza la Fatwa la Oman lasisitiza: Haijuzu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Baraza la Fatwa la Oman lasisitiza: Haijuzu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 03, 2018 00:31

    Baraza la Fatwa la Oman limesisitiza kuwa haijuzu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. Baraza hilo limetoa sisitizo hilo likiwa ni jibu na radiamali kwa safari iliyofanywa hivi karibuni na Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu huko nchini Oman.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS