Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Siasa zisizo na mantiki za Oman, Muscat yafuata mkumbo na kusombwa na njama ya

    Siasa zisizo na mantiki za Oman, Muscat yafuata mkumbo na kusombwa na njama ya "Muamala wa Karne"

    Nov 02, 2018 02:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas huko Ramallah katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan.

  • Tume ya maulama Saudia: Kufanya uhusiano na Israel ni kuyafanyia hiyana matukufu ya Palestina

    Tume ya maulama Saudia: Kufanya uhusiano na Israel ni kuyafanyia hiyana matukufu ya Palestina

    Oct 30, 2018 11:09

    Kamati ya maulama nchini Saudi Arabia imetangaza kwamba, kufanya uhusiano mwema na utawala haramu wa Kizayuni kwa aina yoyote ile, ni kuyafanya hiyana kubwa matukufu ya Palestina.

  • Ijumaa, Septemba 28, 2018

    Ijumaa, Septemba 28, 2018

    Sep 27, 2018 22:52

    Leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 28, 2018 Milaadia.

  • Majeshi ya Iran, Oman kushirikiana katika setka za tiba

    Majeshi ya Iran, Oman kushirikiana katika setka za tiba

    Jul 28, 2018 09:23

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran litashirikiana na Jeshi la Oman katika sekta ya tiba katika fremu ya ushirikiano wa kiulinzi wa nchi hizi mbili jinrani.

  • Iran na Oman zazidi kuimarisha ushirikiano wao wa baharini

    Iran na Oman zazidi kuimarisha ushirikiano wao wa baharini

    Jun 27, 2018 03:29

    Kikao cha 17 cha kamati ya pamoja ya uchumi baina ya Iran na Oman kimehimiza kuimarishwa ushirikiano wa nchi mbili kupitia bandari ya Chabahar katika mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.

  • Oman yasema haiwezi kuvumilia tena chokochoko za UAE

    Oman yasema haiwezi kuvumilia tena chokochoko za UAE

    Jun 08, 2018 20:53

    Migogoro inazidi kutokota katika Ghuba ya Uajemi baada ya Oman kuuonya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa haiwezi kuvumilia tena wizi wa turathi zake za kitaifia na haki za uvumbuzi.

  • Kimbunga kikali chaua watu 3 Oman, zaidi ya 7 Yemen

    Kimbunga kikali chaua watu 3 Oman, zaidi ya 7 Yemen

    May 26, 2018 10:53

    Watu watatu wamepoteza maisha nchini Oman kufuatia kimbunga kikali ambacho kinaendelea kukumba pwani ya kusini mwa nchi hiyo eneo la Salalah.

  • Uhusiano wa kijeshi wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    Uhusiano wa kijeshi wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    May 05, 2018 03:24

    Kikao cha 14 cha Kamati ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kijeshi na Kiulinzi wa Oman na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimeanza leo hapa mjini Tehran.

  • Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Mar 28, 2018 11:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman ameyahimiza mataifa ya dunia kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina na mapambano yao hadi watakapopata ushindi na uhuru wao.

  • Iran na Oman zasisitizia ulazima wa kuimarishwa amani na uthabiti katika eneo

    Iran na Oman zasisitizia ulazima wa kuimarishwa amani na uthabiti katika eneo

    Mar 18, 2018 13:19

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza juu ya kuimarishwa na kustawishwa zaidi uhusiano uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS