Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Larijani: Suala la makombora ya Iran halijadiliki

    Larijani: Suala la makombora ya Iran halijadiliki

    Mar 18, 2018 04:44

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa nchi za Ulaya hazipasi kuunganisha kadhia ya makombora ya Iran na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA bali zinapasa kushughulikia majukumu yao na ya Marekani kuhusu makubaliano hayo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman awasili mjini Tehran, aonana na Zarif

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman awasili mjini Tehran, aonana na Zarif

    Mar 17, 2018 00:37

    Yusuf bin Alawi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman jana usiku aliwasili hapa Tehran kwa ajili ya ziara rasmi ya kikazi na tayari ameshaonana na waziri mwenzake wa Iran, Mohammad Javad Zarif.

  • Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos  kwa mara nyingine ni mpatanishi

    Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos kwa mara nyingine ni mpatanishi

    Feb 05, 2018 09:58

    Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametembelea Oman na kukutana na kiongozi wa nchi hiyo, Sultan Qaboos.

  • Larijani: Ni jukumu la nchi za Kiislamu kufanya juhudi za kupunguza hitilafu

    Larijani: Ni jukumu la nchi za Kiislamu kufanya juhudi za kupunguza hitilafu

    Jan 15, 2018 10:56

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria njama za maadui waliokula kiapo dhidi ya Uislamu kwa ajili ya kupenya na kuzusha hitilafu miongoni mwa Waislamu na kusisitiza kwamba, ni jukumu la nchi za Kiislamu kuzuia kuenea hitilafu na mizozo katika Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Dec 31, 2017 04:30

    Mkuu wa kitengo cha biashara katika ubalozi wa Iran mjini Muscat amesema magari yaliyotegenezwa katika viwanda vya Iran sasa yataanza kuuzwa katika soko la Oman.

  • Jumatano, Disemba 20, 2017

    Jumatano, Disemba 20, 2017

    Dec 20, 2017 00:37

    Leo ni Jumatano tarehe Mosi Mfunguo Saba 1439 Hijria sawa na tarehe 20 Disemba 2017.

  • Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu

    Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu

    Dec 11, 2017 04:44

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran daima imekuwa mtetezi wa haki za wananchi madhulumu wa Palestina na kibla cha kwanza cha Waislamu na itaendelea kufanya hivyo.

  • Zarif asema Iran na Oman zina uhusiano mzuri na wa karibu

    Zarif asema Iran na Oman zina uhusiano mzuri na wa karibu

    Oct 02, 2017 11:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Iran na Oman katika sekta za siasa, uchumi, usalama na masuala ya eneo ni mzuri na ni wa karibu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Muscat Oman

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Muscat Oman

    Oct 02, 2017 00:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran leo subuhi ameondoka Tehran na kuelekea ziarani mjini Muscat Oman kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo na Qatar.

  • Alkhamisi 28 Septemba 2017

    Alkhamisi 28 Septemba 2017

    Sep 27, 2017 23:38

    Leo ni Alkhamisi 7 Muharram 1439 Hijria sawa na Septemba 28, 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS