-
Uhusiano wa kijeshi wa Iran na Oman wazidi kuimarika
May 05, 2018 03:24Kikao cha 14 cha Kamati ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kijeshi na Kiulinzi wa Oman na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimeanza leo hapa mjini Tehran.
-
Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina
Mar 28, 2018 11:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman ameyahimiza mataifa ya dunia kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina na mapambano yao hadi watakapopata ushindi na uhuru wao.
-
Iran na Oman zasisitizia ulazima wa kuimarishwa amani na uthabiti katika eneo
Mar 18, 2018 13:19Rais Hassan Rouhani amesisitiza juu ya kuimarishwa na kustawishwa zaidi uhusiano uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman.
-
Larijani: Suala la makombora ya Iran halijadiliki
Mar 18, 2018 04:44Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa nchi za Ulaya hazipasi kuunganisha kadhia ya makombora ya Iran na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA bali zinapasa kushughulikia majukumu yao na ya Marekani kuhusu makubaliano hayo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman awasili mjini Tehran, aonana na Zarif
Mar 17, 2018 00:37Yusuf bin Alawi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman jana usiku aliwasili hapa Tehran kwa ajili ya ziara rasmi ya kikazi na tayari ameshaonana na waziri mwenzake wa Iran, Mohammad Javad Zarif.
-
Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos kwa mara nyingine ni mpatanishi
Feb 05, 2018 09:58Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametembelea Oman na kukutana na kiongozi wa nchi hiyo, Sultan Qaboos.
-
Larijani: Ni jukumu la nchi za Kiislamu kufanya juhudi za kupunguza hitilafu
Jan 15, 2018 10:56Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria njama za maadui waliokula kiapo dhidi ya Uislamu kwa ajili ya kupenya na kuzusha hitilafu miongoni mwa Waislamu na kusisitiza kwamba, ni jukumu la nchi za Kiislamu kuzuia kuenea hitilafu na mizozo katika Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman
Dec 31, 2017 04:30Mkuu wa kitengo cha biashara katika ubalozi wa Iran mjini Muscat amesema magari yaliyotegenezwa katika viwanda vya Iran sasa yataanza kuuzwa katika soko la Oman.
-
Jumatano, Disemba 20, 2017
Dec 20, 2017 00:37Leo ni Jumatano tarehe Mosi Mfunguo Saba 1439 Hijria sawa na tarehe 20 Disemba 2017.
-
Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu
Dec 11, 2017 04:44Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran daima imekuwa mtetezi wa haki za wananchi madhulumu wa Palestina na kibla cha kwanza cha Waislamu na itaendelea kufanya hivyo.