Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar: Palestina ni kadhia  muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu

    Qatar: Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu

    Sep 12, 2019 11:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amelaani hatua ya Wazayuni kukiuka haki za taifa la Palestina na kusema: "Palestina ni kipaumbele cha kwanza kwa nchi za Kiislamu na Kiarabu."

  • Jumanne tarehe 3 Septemba 2019

    Jumanne tarehe 3 Septemba 2019

    Sep 03, 2019 03:03

    Leo ni Jumanne tarehe 3 Muharram mwaka 1441 Hijria sawa na Septemba 3 mwaka 2019.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar asisitiza umuhimu wa kulindwa umoja na mshikamano huko Yemen

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar asisitiza umuhimu wa kulindwa umoja na mshikamano huko Yemen

    Aug 17, 2019 03:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesisitiza kuwa, kuna ulazima wa kulindwa umoja na mshikamano huko Yemen baada ya kufichuliwa njama za Saudi Arabia na Imarati za kuigawa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani ndio chanzo hasa cha kukosekana amani katika eneo

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani ndio chanzo hasa cha kukosekana amani katika eneo

    Aug 08, 2019 12:31

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, muungano wa kijeshi unaotaka kuundwa na Marekani wa kisingizio cha kudhamini usalama wa vyombo vya majini ndio utakaosababisha kuvurugika zaidi amani na usalama katika eneo.

  • Iran na Qatar zasaini hati ya maelewano ya ushirikiano wa ulinzi wa mpakani

    Iran na Qatar zasaini hati ya maelewano ya ushirikiano wa ulinzi wa mpakani

    Aug 06, 2019 07:43

    Kamanda wa kikosi cha walinzi wa mpakani cha jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kamanda wa gadi ya pwani ya Qatar wamesaini hati ya ushirikiano wa ulinzi wa mpakani.

  • Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Jun 12, 2019 08:08

    Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar akiwa safarini nchini Uingereza amesema: "Saudi Arabia ni nguvu ya uharibifu katika eneo lote la Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) na Afrika."

  • Qatar: Saudia na Imarati zinachochea ugaidi na taharuki katika eneo

    Qatar: Saudia na Imarati zinachochea ugaidi na taharuki katika eneo

    Jun 10, 2019 08:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman Aal Thani amesema sera za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabi zinashadidisha ugaidi na kuchochea taharuki katika eneo la Asia Magharibi na barani Afrika.

  • Mwenendo wa kuongezeka hitalafu za ndani katika nchi za Kiarabu, kushindwa Saudi Arabia

    Mwenendo wa kuongezeka hitalafu za ndani katika nchi za Kiarabu, kushindwa Saudi Arabia

    Jun 08, 2019 02:15

    Mvutano unaoendelea kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Bahrain, Imarati na Misri, ambao ulianza tarehe 5 Juni mwaka 2017, uliingia rasmi katika mwaka wake wa tatu hapo tarehe 5 mwezi Juni mwaka huu, katika hali ambayo hakuna dalili zozote zinazoonyesha kwamba mvutano huo utamalizika hivi karibuni.

  • Siasa za pamoja za Iran na Qatar; uimarishaji wa usalama wa eneo

    Siasa za pamoja za Iran na Qatar; uimarishaji wa usalama wa eneo

    Jun 06, 2019 08:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba Iran inataka kuimarisha usalama wa eneo zima la Asia Magharibi na kwamba haina nia ya kuanzisha mapigano na nchi yoyote ile. Hata hivyo ameongeza kuwa iwapo Iran itashambuliwa na nchi yoyote katika eneo basi nchi hiyo itapata jibu la kuifanya ijute ni kwa nini ilianzisha mashambulizi.

  • Rouhani: Iran inafanya juhudi za kuimarisha usalama wa Asia Magharibi

    Rouhani: Iran inafanya juhudi za kuimarisha usalama wa Asia Magharibi

    Jun 05, 2019 11:42

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inafanya juhudi za kuimarisha usalama katika eneo la Asia Magharibi na haina hamu wala nia yoyote ya kuingia vitani na nchi nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS