-
Nukta nne muhimu za kushindwa vikao vya Makka
Jun 05, 2019 12:28Katika hali ambayo siku nne zimepita tokea kufanyika vikao vya Makka lakini bado matokeo mabaya na hata yaliyo kinyume na matarajio ya waandaaji wa vikao hivyo yangali yanaendelea kuakisiwa kieneo na kimataifa.
-
Vikao vya Makka; 'hapana' ya Qatar kwa siasa za mifarakano za Wasaudi
Jun 05, 2019 04:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kwamba taarifa zilizotolewa mwishoni mwa vikao viwili vya viongozi wa Baraza la Ghuba ya Uajemi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) huko katika mji mtakatifu wa Makka haziungwi mkono na serikali ya Doha.
-
Qatar: Kuuvamia Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani
Jun 04, 2019 06:27Qatar imelaani jinai ya mamia ya walowezi wa Kizayuni ya kuuvamia Msikiti wa al Aqsa na kuwajeruhi Waislamu kadhaa waliokuwa wanasali msikitini humo kwa kushirikiana na wanajeshi katili wa Israel.
-
Qatar yakosoa taarifa ya Makka dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jun 03, 2019 06:17Qatar imesema haiungi mkono taarifa dhidi ya Iran zilizotolewa katika vikao vya nchi za Kiarabu na Kiislamu katika mji wa Makka nchini Saudi Arabia hivi karibuni.
-
Amir wa Qatar hatoshiriki kikao cha Makka
May 30, 2019 08:17Amir wa Qatar amekataa ombi la mfalme wa Saudi Arabia la kufanya safari katika mji wa Makka na badala yake amemtuma Waziri wake Mkuu kumwakilisha huko Saudia.
-
Qatar: Amani ya Palestina sharti ijumuishe suluhu inayokubaliwa na Wapalestina
May 25, 2019 10:18Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar sambamba na kukosoa mpango wa kufanyika mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain, imesema matakwa ya wananchi wa Palestina lazima yajumuishe kwenye mipango yoyote ya amani na maendeleo inayowahusu.
-
Amir wa Qatar: Tutaendelea kuliunga mkono taifa madhulumu la Palstina
May 12, 2019 12:57Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amesema kuwa, msimamo wa Doha wa kuunga mkono na kutetea haki za taifa madhulumu la Palestina ni thabiti na usiotetereka.
-
Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kusimamisha mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina
May 07, 2019 07:39Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Kiislamu zinapaswa kuchua hatua zote kuhakikisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unakomesha mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina.
-
Syria yaridhia ombi la serikali ya Qatar la kutaka ndege zake kutumia anga ya nchi hiyo
Apr 24, 2019 13:55Wizara ya Usafirishaji ya Syria imekubali ombi la Shirika la Ndege la Qatar Air Ways la kutumia anga ya nchi hiyo kwa ndege zake, ambapo Damascus imetoa kibali hicho.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan apigwa kalamu nyekundu kwa mashinikizo ya Saudia na Imarati
Apr 19, 2019 13:18Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan limempiga kalamu nyekundu Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kuonyesha kuwa tayari kukutana na ujumbe wa Qatar.