-
Qatar yataka Jenerali Haftar wa Libya awekewe vikwazo vya silaha
Apr 17, 2019 02:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ametoa mwito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Jenerali Khalifa Haftar na vikosi vyake vinavyofanya mashambulizi ya kudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Amiri wa Qatar aondoka ghalfa katika kikao cha nchi za Kiarabu
Mar 31, 2019 14:43Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani leo Jumapili ameondoka ghalfa katika kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) mjini Tunis, Tunisia.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Marekani haiwezi kulazimisha kwa mabavu mpango wake wa "Muamala wa Karne"
Mar 20, 2019 02:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf bin Alawi amesema: Marekani haiwezi kuutekeleza mpango wa "Muamala wa Karne" pasi na kukubali kuwepo nchi huru ya Palestina.
-
Malengo ya safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Mar 05, 2019 14:15Sergei Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Jumatatu ya tarehe 4 Machi alianza safari yake ya siku nne katika nchi nne za Qatar, Saudi Arabia, Kuwait na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Mkuu wa Baraza Kuu la Libya atembelea Qatar wakati huu wa kuongezeka ushindani kati ya nchi za Kiarabu
Mar 03, 2019 15:37Mkuu wa Baraza Kuu la Libya amefanya safari rasmi ya kuitembelea nchi ndogo ya Qatar katika wakati huu ambapo nchi hiyo imezingirwa kila upande na nchi nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri.
-
Sisitizo la Qatar juu ya udharura wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Iran
Mar 01, 2019 07:52Muhammad bin Abdulrahman bin Jassim Aal Thani Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amezitaka nchi za Kiarabu za Ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, nchi hizo zinahitajia kuwa na maelewano na Tehran.
-
Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran
Feb 28, 2019 02:30Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zina wajibu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran kwani zinaihitajia nchi hiyo.
-
Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lifikie mwafaka na Iran
Feb 26, 2019 14:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani amewataka wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (PGCC) kufikia mwafaka na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Makabiliano ya Saudia na Qatar nchini Sudan
Jan 27, 2019 11:52Baada ya safari ya siku mbili ya Rais Omar al-Bashir wa Sudan mjini Doha, Qatar Mfalme wa Saudia pia alituma ujumbe huko Sudan ulioongozwa na mmoja wa mawaziri wake kwa ajili ya kukutana na al-Bashir.
-
Qatar: Tofauti zetu na Saudia zingali ziko pale pale, (P)GCC haijasaidia chochote kuzitatua
Jan 24, 2019 04:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema, tofauti zilizojitokeza kati ya nchi yake na Saudi Arabia zingali ziko pale pale; na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC halijatoa msaada wowote kwa ajili ya kutatua mvutano huo.