Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Qatar yaipa Somalia msaada wa kijeshi, UAE yatengwa

    Qatar yaipa Somalia msaada wa kijeshi, UAE yatengwa

    Jan 18, 2019 07:34

    Qatar imeipa Somalia msaada wa kijeshi wa magari 68 ya deraya katika kile ambacho kimetajwa kuwa ni ishara ya kuongezeka ushawishi wa Qatar nchini humo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi halina nguvu yoyote

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi halina nguvu yoyote

    Jan 13, 2019 07:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (GCC) na Katibu Mkuu wake hawana nguvu yoyote. Mohammed Abdulrahman Aal Thani ameyasema hayo jana katika mazungumzo huko Doha na Abdullatif al Zayan Katibu Mkuu wa baraza hilo na Yusuf bin Alawi Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman.

  • Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani

    Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani

    Jan 11, 2019 07:38

    Rais Barham Salih wa Iraq siku ya Jumatano ya tarehe 9 Januari aliwasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwa safari rasmi ya kuitembelea nchi hiyo.

  • Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia

    Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia

    Dec 21, 2018 08:40

    Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar ameuomba Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo zaidi Saudi Arabia ili iondoe vikwazo vyake dhidi ya Qatar.

  • Qatar: Saudi Arabia na Imarati ndio wahatarishaji wakuu wa amani ya Mashariki ya Kati

    Qatar: Saudi Arabia na Imarati ndio wahatarishaji wakuu wa amani ya Mashariki ya Kati

    Dec 18, 2018 03:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu ndio wahatarishaji wakuu wa utulivu na usalama wa nchi za Mashariki ya Kati na lengo lao kuu ni kuvunja amani ya nchi zote za eneo hilo.

  • Qatar kuwajengea makazi wakimbizi wa Yemen

    Qatar kuwajengea makazi wakimbizi wa Yemen

    Dec 17, 2018 09:33

    Mfuko wa Maendeleo wa Qatar ambayo ni taasisi ya masuala ya kibinadamu ya nchi hiyo pamoja na Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa zimesaini makubaliano ya kujenga makazi kwa ajili ya raia elfu 26 wa Yemen waliokimbia vita vya miaka minne nchini mwao.

  • Qatar: Baraza la (P)GCC halina uwezo na limebaki limeemewa

    Qatar: Baraza la (P)GCC halina uwezo na limebaki limeemewa

    Dec 15, 2018 14:26

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amesema kuwa, Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi limebaki kimuundo tu lakini taratibu zake kiutendaji hazitekelezeki.

  • Qatar yakosoa taarifa ya mwisho ya mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Qatar yakosoa taarifa ya mwisho ya mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Dec 10, 2018 06:35

    Qatar imekosoa taarifa ya mwisho ya mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi ikisema kuwa, imeangalia mambo kijuujuu na kuweka kando matatizo ya kweli yanayolikabili baraza hilo.

  • Qatar kujiondoa OPEC Januari 2019

    Qatar kujiondoa OPEC Januari 2019

    Dec 03, 2018 08:03

    Qatar imetangaza kuwa itajiondoa katika Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) mwezi ujao wa Januari 2019.

  • Misri na Saudia zasema mzingiro dhidi ya Qatar utaendelea

    Misri na Saudia zasema mzingiro dhidi ya Qatar utaendelea

    Nov 28, 2018 07:41

    Saudi Arabia na Misri zimesema mzingiro na vikwazo zilivyoiwekea Qatar kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa vitaendelea kwa muda usiojulikana, licha ya Doha kuwasilisha lalama zake mbele ya mahakama za kimataifa na taasisi za Umoja wa Mataifa ili kushinikiza kuhitimishwa mzingiro huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS