-
HRW: Saudia na wenzake imekiuka haki za binaadamu kwa vikwazo vyao Qatar
Jul 14, 2017 10:05Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limezitaka nchi za Saudia, Imarati na Bahrain kuheshimu haki za binaadamu katika vikwazo vyao dhidi ya Qatar.
-
Qatar yaionya Saudia na hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Doha
Jul 10, 2017 22:37Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar ameionya Saudi Arabia kuhusiana na kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi yake.
-
Ahadi ya kuchekesha ya Saudia katika kuishawishi Iraq ijiunge na nchi zilizo dhidi ya Qatar
Jul 10, 2017 22:36Vyanzo vilivyo karibu na Haidar al-Abadi Waziri Mkuu wa Iraq vimesema kuwa Saudi Arabia inaishiinikiza nchi hiyo ili ijiunge na nchi zinazoiwekea vikwazo Qatar
-
Nchi za Kiarabu zilizoiwekea vikwazo Qatar zadhurika kiuchumi
Jul 08, 2017 22:21Kuongezeka mivutano katika uhusuano wa nchi nne za Kiarabu na Qatar kumezisababishia madhara makubwa ya kiuchumi nchi za Saudia na Imarati.
-
Misri yaweka vikwazo vipya dhidi ya Qatar
Jul 08, 2017 12:23Misri imeifungia Qatar njia zote za majini zinazotumiwa na meli za Qatar isipokuwa mfereji wa Suez.
-
Hatua za baadaye za Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar zafichuliwa
Jul 07, 2017 22:22Mwakilishi mmoja wa Bunge la Misri amefichua baadhi ya hatua zinazotarajiwa kuchukuliwa katika siku zijazo na Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya Qatar.
-
Marekani inahofia kuongezeka hali ya mvutano kati ya waitifaki wake Mashariki ya Kati
Jul 07, 2017 10:35Serikali ya Marekani imesema ina wasiwasi wa uwezekano wa kuongezeka hali ya mvutano kati ya Qatar na Saudi Arabia.
-
Taarifa ya pamoja ya Saudia na waitifaki wake dhidi ya Qatar
Jul 06, 2017 23:28Saudi Arabia na waitifaki wake zimetoa taarifa ya pamoja na kudai kuwa hatua ya Qatar ya kukataa masharti ya nchi nne za Kiarabu zilizoiwekea vikwazo vya kila namna nchi hiyo inaonesha nia ya Doha ya kuhatarisha usalama na utulivu wa eneo hili.
-
Jibu la Qatar kwa mashinikizo ya kisiasa na kiuchumi ya nchi nne za Kiarabu na Marekani
Jul 04, 2017 23:35Katika hali ambayo Qatar inakabiliwa na mgogoro wa kidiplomasia na mzingiro wa nchi nne za Kiarabu, nchi hiyo sasa imeamua kuongeza uzalishaji wake wa gesi asilia hadi asilimia 30 katika kipindi cha miaka kadhaa ijayo.
-
Misri na Marekani zaendeleza tuhuma zao dhidi ya Qatar
Jul 04, 2017 03:25Kwa mara nyingine Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na Misri wameituhumu Qatar kwamba, inaunga mkono ugaidi, kuingilia masuala ya ndani ya nchi majirani na kufanya mahusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.