-
Qatar yatangaza jeshi lake liko tayari kwa ajili vita
Jul 03, 2017 02:11Waziri wa Ulinzi wa Qatar amesema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuilinda nchi hiyo endapo itakabiliwa na chokochoko tarajiwa za maadui.
-
Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakabiliwa na tishio kuu, huku muda wa masharti ya Saudia ukimalizika leo
Jul 03, 2017 00:15Katika hali ambayo muhula wa siku kumi Uliotolewa na Saudia na waitifaki wake kwa Qatar ili Ikubali masharti ya Riyadh unamalizika leo Jumatatu tarehe tatu Julai, mgogoro katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi sasa umeingia katika marhala mpya.
-
Qatar yasusia bidhaa za nchi nne za Kiarabu
Jul 01, 2017 02:49Wananchi wa Qatar wamesusia bidhaa za nchi nne za Saudi Arabia, Imarati, Bahrain na Misri baada ya nchi hizo kuendeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya nchi yao.
-
Utunishaji misuli dhidi ya Qatar na masharti yasiyotekelezeka ya Saudia
Jul 01, 2017 02:07Saudi Arabia na waitifaki wake wamezidi kuitunishia misuli Qatar kwa kuipa masharti 13 magumu ambayo ni muhali kutekelezeka. Viongozi wa nchi mbalimbali, wanasiasa mashuhuri wa kieneo na kimataifa akiwemo pia Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, wote wamesema kuwa masharti hayo hayatekelezeki.
-
Kundi la pili la wanajeshi wa Uturuki limewasili Qatar
Jun 30, 2017 03:41Televisheni rasmi ya Qatar leo asubuhi imetangaza kuwa, kundi jipya la wanajeshi wa Uturuki limewasili katika kambi ya jeshi la anga ya al Adida iliyopo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Doha.
-
Qatar yalaani ukaidi wa Saudia wa kukataa suluhu
Jun 28, 2017 10:34Serikali ya Qatar imelaani ukaidi wa Saudi Arabia wa kukataa kufanya mazungumzo na Doha kwa ajili ya kutafuta njia za kuondoa vikwazo vya nchi nne za Kiarabu dhidi ya Qatar.
-
Ujerumani: Masharti iliyopewa Qatar ni ya kichochezi sana
Jun 27, 2017 03:16Ujerumani imeyataja kuwa ya kichochezi sana masharti iliyopewa Qatar kabla ya kutatulwa mgogoro wake na nchi nne za Kiarabu zinazoongozwa na Saudi Arabia.
-
Udiplomasia wa Marekani na changamoto ya hitilafu baina ya Trump na Tillesron
Jun 26, 2017 11:34Gazeti la New York Times limefichua hitilafu zilizopo kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo Rex Tillerson kuhusu mvutano uliopo kati ya Saudi Arabia na Qatar.
-
Rais Rouhani: Iran imeazimia kupanua zaidi mahusiano na Qatar
Jun 26, 2017 03:25Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar, Tamim bin Hamad Aal Thani ambapo sambamba na kumuhakikishia kuwa, serikali na taifa la Iran liko pamoja na serikali na taifa la Qatar, amesema kuwa, siasa za Tehran zimelenga kuimarisha mahusiano zaidi na Doha.
-
Qatar: Hatutafanya mazungumzo na nchi za Kiarabu hadi ziondoe vikwazo vyao vya kiuchumi
Jun 20, 2017 09:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Doha haitafanya mazungumzo na nchi za Kiarabu zilizoikatia mahusiano ya kidiplomasia, hadi zitakapohitimisha vikwazo vyao vya kiuchumi dhidi ya nchi hiyo.