Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qur'ani Tukufu

  • Suratul Qas'as 5-8 (683)

    Suratul Qas'as 5-8 (683)

    Jan 01, 2017 10:59

    Sura ya Al-Qas’as’, aya ya 5-8 (Darsa ya 683)

  • Balozi wa Russia Cairo: Qur'ani na Uislamu havina uhusiano wowote na ugaidi

    Balozi wa Russia Cairo: Qur'ani na Uislamu havina uhusiano wowote na ugaidi

    Dec 23, 2016 03:31

    Balozi wa Russia mjini Cairo, Misri amesema kuwa mafundisho ya Qur'ani tukufu hayana mfungamano wa aina yoyote ile ya ugaidi.

  • Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia

    Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia

    Dec 15, 2016 04:30

    Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.

  • Daesh wazidi kupata pigo Iraq, watega mabomu ndani ya Qur'ani karibu na Mosul

    Daesh wazidi kupata pigo Iraq, watega mabomu ndani ya Qur'ani karibu na Mosul

    Dec 07, 2016 03:56

    Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wameanza tena kutega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu na kuziacha mabarabarani na nje ya majumba katika kijiji cha Kanous, karibu na mji wa Mosul nchini Iraq.

  • Ubalozi wa Saudia Morocco wavunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu

    Ubalozi wa Saudia Morocco wavunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu

    Oct 04, 2016 02:58

    Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.

  • Jumatatu, 04 Julai 2016

    Jumatatu, 04 Julai 2016

    Jul 04, 2016 06:20

    Leo ni Jumatatu tarehe 28 Ramadhani mwaka 1437 Hijria sawa na 4 Julai 2016.

  • Vikao 400 vya  Qur'ani Tukufu kote Iran

    Vikao 400 vya Qur'ani Tukufu kote Iran

    Jun 12, 2016 03:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote Iran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Vikao 400 vya  Qur'ani Tukufu kufanyika kote nchini Iran

    Vikao 400 vya Qur'ani Tukufu kufanyika kote nchini Iran

    Jun 11, 2016 15:30

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeandaa vikao 400 maalumu vya usomaji Qur'ani kote nchini katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.

  • Iraq: Daesh inatega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani

    Iraq: Daesh inatega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani

    Jun 10, 2016 03:49

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh linatumia nakala za Qur'ani tukufu kutekeleza mashambulizi yake ya mabomu katika mji wa Fallujah nchini Iraq.

  • Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda

    Iran yafadhili mashindano ya Qur'ani katika Televisheni ya Uganda

    May 29, 2016 04:13

    Kitengo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda kimefadhili mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo, UBC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS