-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Nguvu kwa Msingi wa Uislamu
May 19, 2016 02:38Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Jumatano alikutana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran na kusema, 'Qur'ani Tukufu ni mhimili wa Umoja wa Umma wa Kiislamu.
-
Vijana wa Afrika Mashariki washiriki Mashindani ya Kimataifa ya Qurani ya Iran
May 14, 2016 10:24Vijana kutoka kanda ya Afrika Mashariki ni miongoni mahuffadh na maqari wanaoshiriki duru ya 33 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani inayofanyika hapa mjini Tehran.
-
Mashindano ya Qur'ani Tukufu yaanza rasmi Tehran
May 12, 2016 11:07Baada ya Dk Ali Larijani, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) kufungua duru ya 33 ya mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu jana Jumatano, mashindano hayo yameanza rasmi leo.
-
Viongozi wa Wakristo Senegal watunukiwa zawadi ya Qur’ani Tukufu
Apr 05, 2016 22:24Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW) nchini Senegal amekutana na viongozi wa Wakristo nchini humo na kuwakabidhi zawadi ya nakala ya Qur’ani iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kifaransa.