Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Rais wa Sierra Leone: Maandamano yalioua 27 yalilenga kuipindua serikali

    Rais wa Sierra Leone: Maandamano yalioua 27 yalilenga kuipindua serikali

    Aug 13, 2022 06:46

    Rais wa Sierra Leone amesema maandamano ya fujo yaliyoshuhidiwa wiki hii nchini humo yalifanyika kwa shabaha ya kuipundua serikali anayoiongoza.

  • Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji

    Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji

    Aug 11, 2022 03:07

    Mahakama moja nchini Tunisia imebatilisha uamuzi wa Rais Kais Saied wa nchi hiyo wa kuwafuta kazi makumi ya majaji.

  • Ombi la rais wa Ukraine la kuadhibiwa kwa umati wananchi wa Russia; muendelezo wa siasa za Kizayuni

    Ombi la rais wa Ukraine la kuadhibiwa kwa umati wananchi wa Russia; muendelezo wa siasa za Kizayuni

    Aug 10, 2022 21:55

    Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine ambaye hadi hivi karibuni alikuwa anadai kuwa Rais Vladimir Putin wa Russia ndiye aliyesababisha vita vya Ukraine, hivi sasa ameelekeza mashambulizi yake kwa wananchi wote wa Russia na ametaka adhabu ya umati itolewe dhidi yao.

  • Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

    Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

    Aug 10, 2022 10:43

    Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha UDA katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, William Ruto anaongoza katika matokeo ya muda ya zoezi hilo la kidemokrasia lililofanyika jana Jumanne.

  • Raisi: Kuzinduliwa satalaiti ya Khayyam ni fahari kwa Iran

    Raisi: Kuzinduliwa satalaiti ya Khayyam ni fahari kwa Iran

    Aug 10, 2022 06:56

    Rais wa Iran amesema kurushwa katika anga za mbali kwa mafanikio satalaiti ya Iran ya Khayyam ni chemichemi ya fahari na nguvu za Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ushujaa wa vijana wa Palestina, Yemen ni matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Ushujaa wa vijana wa Palestina, Yemen ni matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Aug 07, 2022 22:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani jinai zinazofanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza, amesema ushujaa wa vijana wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Rais Kiir na Machar warefusha kipindi cha mpito Sudan Kusini kwa miaka 2

    Rais Kiir na Machar warefusha kipindi cha mpito Sudan Kusini kwa miaka 2

    Aug 05, 2022 06:57

    Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na makamu wake ambaye wamekuwa wakivutana na kuhitalifiana kwa muda mrefu sasa Riek Machar wametangaza kuwa wataendelea kuiongoza Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa miaka miwili zaidi, mara tu kipindi cha mpito kitakapomalizika.

  • Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Jul 23, 2022 22:57

    Rais wa Iran amesema azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) lilikuwa na taathira hasi kwa muamana na irada ya kisiasa ya pande husika.

  • Rais wa Iran akutana na Putin na Erdogan na kujadili vita dhidi ya ugaidi

    Rais wa Iran akutana na Putin na Erdogan na kujadili vita dhidi ya ugaidi

    Jul 19, 2022 10:52

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi umepelekea kuimarika usalama katika eneo la Asia Magharibi.

  • Raisi: Maadui wanatumia magenge ya kitakfiri kuwagawa Waislamu

    Raisi: Maadui wanatumia magenge ya kitakfiri kuwagawa Waislamu

    Jul 09, 2022 03:11

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mwenendo wa magenge ya kigaidi na kitakfiri wa kupanda mbegu za chuki na mifarakano ni sehemu ya mbinu zinazotumiwa na maadui kuibua migawanyiko katika umma wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS