-
Rais wa Sierra Leone: Maandamano yalioua 27 yalilenga kuipindua serikali
Aug 13, 2022 06:46Rais wa Sierra Leone amesema maandamano ya fujo yaliyoshuhidiwa wiki hii nchini humo yalifanyika kwa shabaha ya kuipundua serikali anayoiongoza.
-
Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji
Aug 11, 2022 03:07Mahakama moja nchini Tunisia imebatilisha uamuzi wa Rais Kais Saied wa nchi hiyo wa kuwafuta kazi makumi ya majaji.
-
Ombi la rais wa Ukraine la kuadhibiwa kwa umati wananchi wa Russia; muendelezo wa siasa za Kizayuni
Aug 10, 2022 21:55Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine ambaye hadi hivi karibuni alikuwa anadai kuwa Rais Vladimir Putin wa Russia ndiye aliyesababisha vita vya Ukraine, hivi sasa ameelekeza mashambulizi yake kwa wananchi wote wa Russia na ametaka adhabu ya umati itolewe dhidi yao.
-
Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya
Aug 10, 2022 10:43Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha UDA katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, William Ruto anaongoza katika matokeo ya muda ya zoezi hilo la kidemokrasia lililofanyika jana Jumanne.
-
Raisi: Kuzinduliwa satalaiti ya Khayyam ni fahari kwa Iran
Aug 10, 2022 06:56Rais wa Iran amesema kurushwa katika anga za mbali kwa mafanikio satalaiti ya Iran ya Khayyam ni chemichemi ya fahari na nguvu za Jamhuri ya Kiislamu.
-
Ushujaa wa vijana wa Palestina, Yemen ni matunda ya Mapinduzi ya Kiislamu
Aug 07, 2022 22:40Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani jinai zinazofanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza, amesema ushujaa wa vijana wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Rais Kiir na Machar warefusha kipindi cha mpito Sudan Kusini kwa miaka 2
Aug 05, 2022 06:57Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na makamu wake ambaye wamekuwa wakivutana na kuhitalifiana kwa muda mrefu sasa Riek Machar wametangaza kuwa wataendelea kuiongoza Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa miaka miwili zaidi, mara tu kipindi cha mpito kitakapomalizika.
-
Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa
Jul 23, 2022 22:57Rais wa Iran amesema azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) lilikuwa na taathira hasi kwa muamana na irada ya kisiasa ya pande husika.
-
Rais wa Iran akutana na Putin na Erdogan na kujadili vita dhidi ya ugaidi
Jul 19, 2022 10:52Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi umepelekea kuimarika usalama katika eneo la Asia Magharibi.
-
Raisi: Maadui wanatumia magenge ya kitakfiri kuwagawa Waislamu
Jul 09, 2022 03:11Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mwenendo wa magenge ya kigaidi na kitakfiri wa kupanda mbegu za chuki na mifarakano ni sehemu ya mbinu zinazotumiwa na maadui kuibua migawanyiko katika umma wa Kiislamu.