Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Nov 04, 2020 11:36

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halijalishwi wala kushughulishwa na ni nani atakayeibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika jana Jumanne.

  • Rais wa Jamhuri ya Kiislamu awapongeza Waislamu kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume (saw)

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu awapongeza Waislamu kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume (saw)

    Nov 03, 2020 02:47

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe marais wa nchi za Kiislamu akiwapongeza kwa mnasaba wa kuadhimisha Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu na Nabii wa rehma, upendo na amani, Muhammad (saw).

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Uturuki kwa maafa ya zilzala ya Izmir

    Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Uturuki kwa maafa ya zilzala ya Izmir

    Oct 31, 2020 10:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pole kwa serikali na wananhi wa Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea jana Ijumaa katika eneo la Izmir na kutangaza kuwa Iran iko tayari kwa ajili ya misaada ya aina zote kwa waathiriwa wa janga hilo.

  • Rais Rouhani: Wamagharibi wasijiingize kwenye masuala ya ndani ya Waislamu

    Rais Rouhani: Wamagharibi wasijiingize kwenye masuala ya ndani ya Waislamu

    Oct 28, 2020 12:26

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kama nchi za Magharibi, za Ulaya na Ufaransa ni wakweli katika madai yao kwamba zinapigania amani, udugu, usalama na utulivu katika jamii ya mwanadamu basi zinapaswa kuacha kuingilia masuala ya ndani ya Waislamu.

  • Rouhani: Kuhitimishwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran ni ushindi wa mantiki ya akili dhidi ya mabavu

    Rouhani: Kuhitimishwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran ni ushindi wa mantiki ya akili dhidi ya mabavu

    Oct 21, 2020 13:26

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhitimishwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran ni ushindi wa mantiki ya akili na ukweli dhidi ya utumiaji mabavu.

  • Rouhani: Iran imefelisha njama za Marekani la kuisambaratisha nchi

    Rouhani: Iran imefelisha njama za Marekani la kuisambaratisha nchi

    Oct 19, 2020 03:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maadui wa Iran walikuwa na mpango maalumu wa kuzusha mifarakano na migongano humu nchnii ili viwazo vyao vipate nguvu zaidi.

  • Marais wa Iran na Russia waelezea wasiwasi wao kuhusu vita vya Nagorno-Karabakh

    Marais wa Iran na Russia waelezea wasiwasi wao kuhusu vita vya Nagorno-Karabakh

    Oct 11, 2020 04:17

    Marais wa Iran na Russia wameelezea wasiwasi wao kutokana na kuendelea mgogoro wa Nagorno-Karabakh na wamesema wana hofu mgogoro huo usije ukageuka kuwa vita vya eneo hili zima kutokana na uingiliaji wa nchi nyingine na kuweko magenge ya kigaidi katika eneo hilo.

  • Rais Rouhani: Marekani haitalishinda taifa la Iran kwa kuzuia dawa na chakula

    Rais Rouhani: Marekani haitalishinda taifa la Iran kwa kuzuia dawa na chakula

    Oct 09, 2020 13:07

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani haitaweza kulishinda taifa la Iran kwa kuweka vizingiti vya kununua na kudhamini dawa na chakula.

  • Rais Rouhani: Iran haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake

    Rais Rouhani: Iran haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake

    Oct 07, 2020 12:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran kamwe haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake na kuongeza kuwa, jambo hilo halikubaliki kabisa na Tehran imewatangazia waziwazi msimamo wake huo, viongozi wa nchi zote jirani.

  • Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa mgogoro baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia

    Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa mgogoro baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia

    Oct 07, 2020 04:48

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mgogoro baina ya Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan unapaswa kumalizika haraka iwezekanavyo. Ameongeza kuwa, Iran iko tayari kuchukua hatua yoyote ya kutatua mgogoro baina ya Baku na Yerevan kwa mujibu wa sheria za kimataifa na mipaka inayotambuliwa rasmi ya nchi hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS