-
Onyo la Putin kuhusu kuwekwa makombora mapya ya Marekani barani Ulaya na Asia
Dec 18, 2024 11:07Rais Vladimir Putin wa Russia, ametoa onyo kuhusu kuwekwa makombora ya masafa ya kati na mafupi ya Marekani barani Ulaya na Asia, akisisitiza kwamba nchi yake itatoa jibu la pande zote kwa hatua hiyo. Putin amesema, mpango wa Washington wa kuweka makombora barani Ulaya unaitia wasiwasi mkubwa Moscow.
-
Putin: Viongozi wa Magharibi wanadhani wao wanateuliwa na Mungu, japokuwa hawamuamini Mungu
Dec 17, 2024 06:04Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi za Magharibi zinaendelea kufanya mambo kana kwamba ni wawakilishi wa Mungu duniani kwa kujaribu kudumisha ukiritimba wao wa kimataifa kwa kuweka kanuni za kidanganyifu.
-
Kuongezeka mpasuko ndani ya Umoja wa Ulaya juu ya utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia
Dec 09, 2024 03:09Hatua za Umoja wa Ulaya (EU) za kujaribu kufikia mwafaka juu ya utekelezaji wa kifurushi cha 15 cha vikwazo dhidi ya Russia zimegonga mwamba kutokana na kura za turufu zilizopigwa na Latvia na Lithuania.
-
Reuters: Utawala wa Bashar al-Assad umeanguka, Waziri Mkuu wa Syria: Tuko tayari kukabidhi madaraka
Dec 08, 2024 05:24Shirika la habari la Reuters limenukuu vyanzo vya jeshi la Syria vikisema kuwa maafisa wa ngazi za juu wa jeshi wametangaza kuanguka utawala wa Rais Bashar Assad kwa makamanda wa kijeshi.
-
Lavrov: Russia itatumia 'njia yoyote' kuhakikisha haishindwi katika vita vya Ukraine
Dec 07, 2024 02:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, kutumiwa hivi majuzi na jeshi la nchi yake kombora la hypersonic katika vita vya Ukraine kumelenga kuzielewesha nchi za Magharibi kwamba Moscow iko tayari kutumia "njia yoyote" ili kuzuia kushindwa katika vita hivyo.
-
Russia: Marekani na Uingereza zinaeneza machafuko ndani ya Syria kupitia magenge ya kigaidi
Nov 29, 2024 11:41Russia imesema madola makubwa ya Magharibi yanayoongozwa na Marekani yanaendelea na vitendo vyao vya chuki dhidi ya Syria kwa kuwaunga mkono wanamgambo wanaoipinga serikali ya Damascus pamoja na makundi ya kigaidi ya kitakfiri katika kila pembe ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Rais wa Russia asisitiza kuanzishwa mfumo wa dunia wa kambi kadhaa na wa haki zaidi
Nov 27, 2024 12:30Rais Vladimir Putin wa Russia amezungumza sambamba na kuwadia safari yake ya kuitembelea Kazakhstan na kusisitiza kuwa, nchi hizo mbili ziko mstari wa mbele katika mchakato wa kuunda mfumo wa dunia wa kambi kadhaa na wenye haki zaidi na pande hizo mbili zina misimamo inayofanana kuhusu mahusiano ya kimataifa na masuala ya usalama wa dunia.
-
Spika wa Uturuki: Kwa maamuzi ya Mahakama mbili za Kimataifa, Israel inaona mwisho wake unakaribia
Nov 27, 2024 12:06Spika wa Bunge la Uturuki Numan Kurtulmus amesema, hati ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya kukamatwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wa zamani wa ulinzi wa utawala huo Yoav Gallant ni kielelezo cha hatua nyingine kubwa inayoonyesha kuwa Israel sasa "inagusika".
-
Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko 'hatarini'
Nov 26, 2024 06:42Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya anayemaliza muda wake Josep Borrell ametoa indhari kuwa mustakabali wa umoja huo uko hatarini kutokana na kukabiliwa na migogoro mingi kwa wakati mmoja, na akasisitiza kwamba EU haiwezi tena kuitegemea Marekani kwa ajili ya ulinzi wake.
-
Jumanne, 26 Novemba, 2024
Nov 26, 2024 02:24Leo ni Jumanne 24 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria mwafaka na tarehe 26 Novemba 2024.