-
Russia: Tumeua makumi ya mamluki wa kigeni nchini Ukkraine
Aug 07, 2022 02:09Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limeua makumi ya mamluki wa kigeni katika shambulizi la anga dhidi ya kambi ya kijeshi ya kigeni nchini Ukraine.
-
Russia yautaka utawala wa Kizayuni ukomeshe jinai zake katika Ukanda wa Ghaza
Aug 07, 2022 02:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe mara moja jinai zake dhidi ya wananchi wa Ghaza na kwamba mashambulio hayo ya kivamizi ya Wazayuni hayahalalishiki kivyovyote vile.
-
Russia Today: Mgogoro wa uhaba wa ngano unaisukumiza dunia kwenye baa la njaa
Aug 06, 2022 22:28Chaneli ya televisheni ya Russia Today imeripoti kuwa uvunaji wa ngano nchini Russia unakabiliwa na hatari na kwamba jambo hilo linaweza kuielekeza dunia kwenye baa la njaa.
-
Onyo la Katibu Mkuu wa UN la kutokea vita vya nyuklia duniani
Aug 03, 2022 03:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu hatari ya kutokea vita vya nyuklia duniani. Alitoa onyo hilo Jumatatu, Agosti 1, 2022 wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kuangaliwa Upya Mkataba wa NPT wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia.
-
Russia yatungua ndege 13 zisizo na rubani za Ukraine kwa siku moja
Jul 31, 2022 02:57Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa imetungua ndege 13 zisizo na rubani za Ukraine katika kipindi cha siku moja.
-
Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne
Jul 27, 2022 08:45Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Russia ni rafiki mkubwa wa Afrika na imekuwa ikiunga mkono harakati za kupambana na ukoloni za mataifa ya bara hilo kwa zaidi ya miaka mia moja.
-
Spika wa Russia: Mwenendo wa sarafu ya dola kuacha kutumiwa kimataifa hauwezi kusita
Jul 27, 2022 03:34Spika wa bunge la taifa la Russia la Duma amesisitiza kuwa mwenendo wa sarafu ya dola ya Marekani kuacha kutumiwa katika miamala ya kimataifa umeanza na hakuna njia yoyote ya kuweza kuusitisha.
-
Waziri wa mambo ya nje wa Russia aendelea na ziara yake Afrika kwa kuitembelea Uganda
Jul 26, 2022 07:04Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov amewasili nchini Uganda akiendelea na zaira yake katika nchi kadhaa za Afrika.
-
Safari ya Lavrov barani Afrika; juhudi za Russia za kutafuta fursa mpya
Jul 26, 2022 02:03Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameanza safari yake ya siku 5 barani Afrika kwa kuitembelea Misri ambako aliwasili Jumapili, Julai 24.
-
Magharibi yahaha kukabiliana na makombora ya "Hypersonic" ya China na Russia
Jul 25, 2022 21:59Mashirika ya silaha ya Uingereza na Marekani hivi sasa yanahaha kuongeza nguvu zao za kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na makombora yanayokwenda kwa kasi ya ajabu maarufu kwa jina la makombora ya hypersonic, ya Russia na China.