Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Mbunge wa Russia: Kambi za kijeshi karibu na bandari ya Odessa nchini Ukraine zilishambuliwa kwa mabomu

    Mbunge wa Russia: Kambi za kijeshi karibu na bandari ya Odessa nchini Ukraine zilishambuliwa kwa mabomu

    Jul 24, 2022 06:37

    Mbunge mmoja wa Russia amethibitisha kufanyika shambulio la anga kwenye viunga vya bandari ya Odessa nchini Ukraine na kuongeza kwamba ni vituo na kambi za kijeshi ndizo zililengwa katika shambulio hilo.

  • Waziri Mkuu wa Hungary: Vikwazo dhidi ya Russia vimefeli

    Waziri Mkuu wa Hungary: Vikwazo dhidi ya Russia vimefeli

    Jul 24, 2022 03:03

    Waziri Mkuu wa Hungary amekiri kuwa vikwazo shadidi vya Wamagharibi dhidi ya Russia vimefeli na kugonga mwamba, na kusisitiza kwamba serikali za nchi za Ulaya zinaporomoka.

  • Kusainiwa mkataba wa mauzo ya nafaka kutoka Ukraine, mwanzo wa kutatua mgogoro wa chakula duniani

    Kusainiwa mkataba wa mauzo ya nafaka kutoka Ukraine, mwanzo wa kutatua mgogoro wa chakula duniani

    Jul 23, 2022 06:42

    Jana Ijumaa, Ukraine, Uturuki na Umoja wa Mataifa zilitia saini makubaliano ya kutatua mgogoro wa nafaka duniani. Mkataba huo ulitiwa saini kati ya Oleksandr Kubrakov, Waziri wa Miundombinu wa Ukraine, Kholusi Akar Waziri wa Ulinzi wa Uturuki, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergei Shoigu.

  • Mgogoro wa chakula ulimwenguni  kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka

    Mgogoro wa chakula ulimwenguni kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka

    Jul 23, 2022 02:23

    Russia na Ukraine zimesaini mapatano pamoja na Umoja wa Mataifa na Uturuki kuhusu kuanza tena usafirishaji wa nafaka huku kukiwa na matumaini kuwa makubaliano hayo yatapunguza shida ya chakula ulimwenguni.

  • Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri

    Russia yaanza ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri

    Jul 22, 2022 03:21

    Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la Russia ROSATOM limeanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa kituo cha kwanza cha nyuklia nchini Misri.

  • Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi

    Russia yatishia kusimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi

    Jul 21, 2022 07:09

    Russia imetishia kuwa itaacha kuuza mafuta yake ghafi nje ya nchi hiyo iwapo nchi za Magharibi zitatekeleza mpango wao wa kuweka kibano katika bei ya mauzo ya bidhaa hiyo.

  • Mustakabali mwema katika Muungano wa China, Russia na Iran

    Mustakabali mwema katika Muungano wa China, Russia na Iran

    Jul 21, 2022 03:10

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia amesema China, Russia na Iran zitaunda muungano mkubwa katika mustakabali wa dunia.

  • Rais wa zamani wa Russia aonya kuhusu 'Siku ya Kiyama'

    Rais wa zamani wa Russia aonya kuhusu 'Siku ya Kiyama'

    Jul 18, 2022 03:06

    Rais wa zamani wa Russia ameionya vikali Ukraine na kusema kuwa, iwapo Kiev itathubutu kulishambulia eneo la Crimea, basi Kiyama kitawafikia wao pamoja na washirika wao kwa wakati mmoja.

  • Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Jul 17, 2022 07:21

    Mohammad Marandi, mchambuzi mwandamizi wa masuala ya kisiasa na mitaala kuhusu Marekani amesema makubaliano kati ya Marekani na Iran ni hatua erevu ambayo kama itachukuliwa itazuia kutokea mgogoro wa nishati katika nchi za Magharibi.

  • Kuendelea mpambano wa Magharibi mkabala wa Russia; mara hii vikwazo vya dhahabu

    Kuendelea mpambano wa Magharibi mkabala wa Russia; mara hii vikwazo vya dhahabu

    Jul 16, 2022 23:25

    Nchi za Magharibi zinaendelea kustafidi na wenzo wa mashinikizo kwa Russia kupitia njia mbalimbali kama kuiwekea nchi hiyo vifurushi vya vikwazo vipya kufuatia hatua yake ya kuanzisha vita dhidi ya Ukraine; ambapo Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa uuzaji nje wa dhahabu kutoka Russia utajumuishwa katika kalibu ya vikwazo vipya vya umoja huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS