Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kusimamishwa usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ulaya

    Kusimamishwa usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ulaya

    Jul 13, 2022 22:48

    Usafirishaji wa gesi ya Russia kwenda Ujerumani kupitia bomba la "Nord Stream 1" katika Bahari ya Baltic, ulisimamishwa Jumatatu kwa muda wa siku 10.

  • Russia: Kuondolewa vikwazo na Magharibi kutapelekea kushuka bei za vyakula na nishati duniani

    Russia: Kuondolewa vikwazo na Magharibi kutapelekea kushuka bei za vyakula na nishati duniani

    Jul 12, 2022 02:48

    Waziri wa fedha wa Russia amesema, kuondolewa vikwazo na Magharibi dhidi ya nchi hiyo kutapelekea kushuka bei za vyakula na nishati duniani na akafafanua kwamba, kuhusu ni kwa muda gani bei za nishati na vyakula zitaendelea kuwa za juu, hilo litategemea na muda vitakaochukua vikwazo vilivyowekwa na Magharibi.

  • Marekani na waitifaki wake wa Ulaya wanatafuta njia ya kuhitimisha vita vya Ukraine kidiplomasia

    Marekani na waitifaki wake wa Ulaya wanatafuta njia ya kuhitimisha vita vya Ukraine kidiplomasia

    Jul 09, 2022 22:18

    Gazeti la Kijerumani la Die Welt limeripoti kuwa, Marekani na waitifaki wakuu wa Magharibi wanafanya mazungumzo kwa siri ili kutafuta njia za kidiplomasia za kuhitimisha vita na mapigano nchini Ukraine.

  • Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

    Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

    Jul 07, 2022 03:26

    Jeshi la Russia limetangaza habari ya kusambaratisha mifumo miwili ya makombora aina ya HIMARS ya Marekani mashariki mwa Ukraine.

  • Waziri wa Ulinzi wa Russia: Magharibi imeipatia Ukraine tani 28,000 za silaha

    Waziri wa Ulinzi wa Russia: Magharibi imeipatia Ukraine tani 28,000 za silaha

    Jul 06, 2022 01:23

    Waziri wa Ulinzi wa Russia amesema kuwa, nchi za Magharibi zinaendelea kutuma silaha nchini Ukraine kwa kisingizio cha kurefusha vita na hadi sasa zimepeleka zaidi ya tani elfu 28 za silaha huko Ukraine.

  • "Putin" na sera ya ubeberu ya shirika la NATO

    Jul 01, 2022 04:15

    Rais wa Russia, Vladimir Putin, amelaani "sera za kupenda makuu" za Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), ambalo anaamini linalenga kuimarisha "ubeberu" wake kupitia vita vya Ukraine.

  • Sputnik: Marekani inawasajili magaidi wa Daesh ili kuwatuma Ukraine

    Sputnik: Marekani inawasajili magaidi wa Daesh ili kuwatuma Ukraine

    Jun 30, 2022 20:33

    Shirika la habari la Sputnik limeripoti kuwa, Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) linawasajili magaidi wa Daesh (ISIS) ili wapelekwe Ukraine kwa kisingizio cha vita nchini humo.

  • Russia: Iran na Argentina zameomba rasmi uwanachama katika BRICS

    Russia: Iran na Argentina zameomba rasmi uwanachama katika BRICS

    Jun 28, 2022 06:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Russia amethibitisha kuwa Iran na Argentina zimetuma maombi ya kuwa wanachama katika jumuiya ya BRICS.

  • Putin kufanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu Russia ilipoanzisha vita dhidi ya Ukraine

    Putin kufanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu Russia ilipoanzisha vita dhidi ya Ukraine

    Jun 27, 2022 03:13

    Vyombo vya habari vya Russia vimetangaza kuwa rais Vladimir Putin wa nchi hiyo atafanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu vilipoanza vita nchini Ukraine kwa kutembelea nchi mbili za eneo la Asia ya Kati.

  • Russia: Hatutajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia

    Russia: Hatutajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia

    Jun 25, 2022 07:11

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Moscow haitajiunga na Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia (TPNW).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS