Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Iran yapinga kimya cha wakala wa IAEA kuhusu shughuli za nyuklia za Saudia

    Iran yapinga kimya cha wakala wa IAEA kuhusu shughuli za nyuklia za Saudia

    Aug 14, 2020 22:29

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amepinga kimya cha Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu shughuli za siri za nyuklia za Saudi Arabia na silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ripota wa UN: Mafaili zaidi ya timu za mauaji za utawala wa Saudia yako njia

    Ripota wa UN: Mafaili zaidi ya timu za mauaji za utawala wa Saudia yako njia

    Aug 11, 2020 03:37

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuhusu faili jipya la mrithi wa ufalme wa Saudia wa kuhusika na jaribio la kumuua afisa wa zamani wa intelijensia wa nchi hiyo aliyekimbilia Canada kuwa, mafaili zaidi ya timu za mauaji za Saudia yako njia na yatafichuliwa karibuni.

  • EU yaikosoa Saudi Arabia kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    EU yaikosoa Saudi Arabia kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu

    Aug 10, 2020 20:58

    Umoja wa Ulaya umeikosoa Saudi Arabia kutokana na kamatakamata na vifungo vya muda mrefu dhidi ya watetezi wa haki za wanawake nchini humo.

  • Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani

    Bunge la Iraq kufungua faili la vibaraka za Saudia wenye mfungamano na Marekani

    Aug 09, 2020 23:55

    Mjumbe wa Kamati ya Uhusiano wa Kigeni ya Bunge la Iraq amesema kuwa bunge hilo na jumuiya za wananchi zinafanya jitihada za kufungua faili la vibaraka wa Saudi Arabia wenye mfungamano na Marekani nchini Iraq.

  • UN yaukosoa utawala wa Saudi Arabia kwa mienendo mibovu dhidi ya wanaharakati walioko jela

    UN yaukosoa utawala wa Saudi Arabia kwa mienendo mibovu dhidi ya wanaharakati walioko jela

    Aug 04, 2020 22:54

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameukosoa utawala wa Saudi Arabia kwa hatua zake mbaya dhidi ya wanaharakati waliofungwa katika jela za nchi hiyo.

  • Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Aug 04, 2020 03:33

    Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.

  • Mpango wa Saudia na UAE wa kutorosha magaidi walioko gerezani Iraq

    Mpango wa Saudia na UAE wa kutorosha magaidi walioko gerezani Iraq

    Aug 01, 2020 07:01

    Mbunge mmoja nchini Iraq amefichukua kuhusu mpango wa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu wa kutorosha wafungwa katika jela ya al Hoot nchini Iraq

  • Dakta Muhammad Javad Zarif: Saudi Arabia haitaki uhusiano ulio sawa na Iran

    Dakta Muhammad Javad Zarif: Saudi Arabia haitaki uhusiano ulio sawa na Iran

    Jul 22, 2020 03:25

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuwa na uhusiano mzuri na Saudi Arabia, lakini inasikitisha kuwa, serikali ya Riyadh haitaki kuweko uhusiano ulio sawa baina yake na Iran.

  • Waitifaki wa Saudia na Imarati waendelea kutwangana risasi na kuuana nchini Yemen

    Waitifaki wa Saudia na Imarati waendelea kutwangana risasi na kuuana nchini Yemen

    Jul 15, 2020 09:24

    Mapigano kati ya wanamgambo wa Baraza la Mpito linaloungwa mkono na Imarati na wale wanaoungwa mkono na Saudi Arabia katika mkoa wa Abyan kusini mwa Yemen yameshtadi na kupamba moto.

  • Saudia yakosolewa kwa kuruhusu maonyesho ya mitindo ya kifuska Madina

    Saudia yakosolewa kwa kuruhusu maonyesho ya mitindo ya kifuska Madina

    Jul 10, 2020 20:13

    Utawala wa Saudia Arabia, ambao watawala wake kwa muda mrefu wanajinadi kuwa eti ni 'wahudumu wa maeneo mawili matakatifu ya Waislamu ya Makka na Madina' umekosolewa vikali kwa kuruhusu maonyesho ya mavazi ya kifuska katika mji mtukufu wa Madina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS